25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Na chukia amuachie nani?halafu unaona fahari kuita mwenzako mbuzi, wewe uitwe mnyama gani?
Hata ustaarabu huna, kama hujui historia si utulie tu ujifunze kwa ustaarabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na chukia amuachie nani?halafu unaona fahari kuita mwenzako mbuzi, wewe uitwe mnyama gani?
Hata ustaarabu huna, kama hujui historia si utulie tu ujifunze kwa ustaarabu.
Kuwai kupata wakati huo bubu zako walikuwa wako huko mashimoniMambo mengine yanachekesha sana, yani Mwarabu atoke zake huko Oman aje kutua Zanzibar kisha auze ardhi ya Wandengereko, Wazaramo, Wasukuma, Wachaga, Wapogoro n.k kwa Wajerumani halafu watu watilie maanani upumbavu kama huo.
Wanachekesha kwa chuki zao heti wanawachukia waarabu walio shikilia uchumi wa nchi hii kwa sehemu kubwa wao ndio walipa kodi na sjira binafsi waarabu awawapendi lakini kodi zao wanazitolea macho [emoji14]Kwani mada inasemaje? Yani Nyie jamaa mna chuki mpaka zina Cloud judgement zenu, mada ipo clear inazungumzia past Tense,
"
Jamaa anasema Zanzibar ilikuwa inamiliki ukanda wa Pwani"
Anazungumzia Historia kwamba Zanzibar ilikua ni Ukanda wote wa Pwani kuanzia Msumbiji hadi Somalia, mpaka Mombasa ilikua ni zanzibar.
Tayari wewe na michuki chuki yako umeshatafsiri zanzibar wanaitaka Pwani ya Africa Mashariki.
Hao waoman sasa hivi Wana pesa Chafu hata hawana time na Hio pwani yenu.
Kabla ya muarabu ukanda huo haukuwa na watu waarabu wameanza kufika ukanda huo miaka zaidi 800 iliopitaKama ni historia basi tuanze kabla ujio wa mwarabu...
Kabla ya muarabu ukanda huo haukuwa na watu waarabu wameanza kufika ukanda huo miaka zaidi 800 iliopita
Hujui ulichokiandika unabwabwaja tu.Kumiliki aridhi ni hela yako tu mbona wazungu wanamiliki wewe unsmiliki aridhi uwezo wa kuitumia huna
Hata Urusi na Algeria wana Ardhi kubwa ambayo haikaliwi na watu lakini siyo kusema eti Waarabu wakachukuwe tu Ardhi eti kisa Hakuna watu, hizi ni akili za wapi?Kutokua na watu haimaanishi ndio waje wajimilikishe na kuuza, sio lazima binadamu tuenee kote kwa mpigo, hata huko kwao walikotoka kulikua na maeneo ambayo hayakua na watu ila bado ilikua ardhi yao na mpaka leo ni ardhi yao.
Ndio upumbavu ulifanywa hata na wazungu wa kuja kujimilikisha maeneo, ila hao waarabu mnawatetea kisa pumba za kidini.
Kwani huyo sultan alikuwa mzanzibar au Oman.
Si nimeandika hapo juu? Karudie kusoma, ilikuwa inamilikiwa na Wazawa ikauzwa kwa Chotara wa ki persia na Africa ikaja ikauzwa kwa Mwarabu?Kama ni historia basi tuanze kabla ujio wa mwarabu...
Nimeamini maneno ya wahenga yasemayo ukimuona mtu anasema mwenzie kuwa mdini mtu huyo tambua ndie mdini,hapa tunajadili hapa ya kutetea imetoka wapi?habari ya udini imetoka wapi mbona wapo waarabu wapagani hata wakirito pia?kusema ukweli ndio Udini? nani asie jua kuwa waarabu wamefika ukanda huu wa afirika mashariki miaka mingi?hata afirika kasikaziniKutokua na watu haimaanishi ndio waje wajimilikishe na kuuza, sio lazima binadamu tuenee kote kwa mpigo, hata huko kwao walikotoka kulikua na maeneo ambayo hayakua na watu ila bado ilikua ardhi yao na mpaka leo ni ardhi yao.
Ndio upumbavu ulifanywa hata na wazungu wa kuja kujimilikisha maeneo, ila hao waarabu mnawatetea kisa pumba za kidini.
Ukweli ndio huo kumiliki aridhi ni hela yako tu hata kaburu wanamiliki nusu ya aridhi ya afirika kusini hapa tz wazungu kwa mgongo wa kanisa wanamiliki mahekali maelfu bila hela utamiliki aridhi wewe hapo ulipo inamiliki akali ngapi?watawala waliopita kasolo nyerere wote hao wanamili makali ya aridhi tatizo uwezo wa kuiendeleza hakunaHujui ulichokiandika unabwabwaja tu.
Tatizo wabongo walio wengi wana chuki na waarabu hata ufahamishe vipi,awaamini kama hawa waarabu wanao waona ni watanzania wanayo haki kama walio nayo wao haki ya kumiliki aridhi kama watanzania wengine wabahaki ya kuchagua na kuchaguliwa kuongoza ngazi yoyote hile kama wakoloni wamewakuta na kuwaacha tena baadhi ya watz walikuwa hata awajulikani leo utawapeleka?nyerere kazaliwa kawakutaSultan ni Mzanzibari ndugu, Mpaka leo anahesabika kama ni mkimbizi wa kisiasa kutoka Tanzania. Wabongo bado munahitaji elimu yakutosha kuhusu suala la Uraia.
Nimeamini maneno ya wahenga yasemayo ukimuona mtu anasema mwenzie kuwa mdini mtu huyo tambua ndie mdini,hapa tunajadili hapa ya kutetea imetoka wapi?habari ya udini imetoka wapi mbona wapo waarabu wapagani hata wakirito pia?kusema ukweli ndio Udini? nani asie jua kuwa waarabu wamefika ukanda huu wa afirika mashariki miaka mingi?hata afirika kasikazini
Si nimeandika hapo juu? Karudie kusoma, ilikuwa inamilikiwa na Wazawa ikauzwa kwa Chotara wa ki persia na Africa ikaja ikauzwa kwa Mwarabu?
Mombasa si Kenya sababu Tanzania ina claim na si kwamba Mwarabu ana Claim.Mwarabu akauza kwa mzungu, naye mzungu moyo ukamsuta akaachia ardhi ya watu baada ya makelele akarudi kwao, mwarabu alipaswa naye hivyo hivyo arudi kwao sio kuanza kupigishia makelele.
Haya mambo nimeyaskia tangu kitambo ilipokua inasemwa Mombasa sio Kenya.
Hapo tuuuuu!!!!😂😂😂😂😂Kuna mbuzi moja inaongea .
Wewe unaonekana ni mtoto wa mtumwa bado mindset yako ina harufu ya kuchapwaSultan ni Mzanzibari ndugu, Mpaka leo anahesabika kama ni mkimbizi wa kisiasa kutoka Tanzania. Wabongo bado munahitaji elimu yakutosha kuhusu suala la Uraia.
Haikuwahi kuitwa Zanzibar,zanzibar ni pale Unguja na Pemba tu maeneo mengine kuanzia Mozambique,Lamu,Kismayo mpaka Dubai huko ilikuwa inaitwa Territory of Oman sultanate ambayo baadae sasa ndio hayo maeneo akamuuzia mjerumaniSio Pwani ya kwetu tu ni kuanzia pemba mozambique mpaka huko somalia ilikuwa inaitwa zanzibar kwa ujumla