Jamaa aoa wake 3 wa kizungu, aombwa asifanye kazi yoyote akae nyumbani kwa ajili ya kuwastarehesha kitandani

Hiyo sura ya jamaa kwa waleeee wa kuleeee alafu dini si inasema mke mmoja
 
Hii ndio ile waingereza wanasema "better to be born lucky than gifted"
 
Kwani Kazi ni nini ?

Unaweza kunipa definition yake ?!!!

Nadhani kwenye hio definition utagundua kwamba hata yeye anafanya kazi (Specialization and Division of Labor)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…