Jamaa kaliwa Tshs. 3,000,000 kwenye kamari, yupo hoi kitandani

Ila milioni tatu palefu watu huwa wanaweka timu tatu tu za uhakika
Jamaa kabeti kwa mihemuko, we mtu unaweka laki 3 kwenye treni la timu! Angekuwa mjanja hio M3 kwa kucheza game za live ambazo uhakika sana angehitaji michezo isiozidi 10 tu ya odds 1.80 kuingiza zaidi ya million ndani ya masaa 2-3 tu! Tena kwa kuzungusha hio hio laki 3 moja hizo 2.7m zingekuwa safe!

Sometime muombage ushauri kwa betting advisors jamani, napendekeza ukiwa unaeka genji refu ubetie game moja tu kwa kila mkeka ili kuhakikisha hupotezi pesa maana katika game 10 kwa mtu mzoefu ukizipanga kila mkeka huwezi kosa chini ya mikeka 7 iliotiki ambayo ni faida kwako tayari! Kadirio la chini kama kila mkeka una odds 1.50 ina maana hutakosa 150k ya faida katika mikeka yote 7! Ikumbukwe odds hazitakuwa flat, kuna zingine zitakuwa 2+
 
Kubeti! Lile ni pango la wanyang'anyi. Kila mmoja kajiandaa kumnyang'anya mwenzake. That's the rule of the game.
 
Atakua ndo Anajifunza kubet huyo.



Ila Naimani hakijaharibika kitu, Binadamu tunajifunza kupitia makosa.

Ushaur wangu:
Mwambie apitie kwenye Uzi wetu wa Mikeka humu jf akapate faraja ya moyo.

Akaone jinsi watu wanavyobet kistaarabu.

Pia,
Atapata mengi ya kujifunza kuhusu mbinu mbalimbali za betting.

Kuchagua kampuni nzuri za kubeti.

Kuchagua Option nzur za kubeti

Kupata kuzijua Tabia(mienendo) za kujirudia rudia za timu mbali mbali ziwapo uwanjani ktk msimu husika.

Yote kwa yote,
Ni kujifunza Kubeti Kistaarabu

Huku ukivuna faida kidogo kidogo bila kuathiri mtaji wako, itakayosaidia kuepuka kufilisika ghafla kama ilvotokea kwa Ndugu yako huyo.
 
Binafsi;
Niliwahi kuliwa Million 6 kwenye mkeka mmoja na sikupata presha.

Nlicheza mechi 2 tu, nkawapa ushindi Bayern na PSG wote walikua wanacheza nyumbani.

Bayern alishinda ila PSG alitoa sare, mikeka ukachanika.

{Wazee wenzangu kule kwenye Uzi wa mikeka ni mashahidi kwenye hili}

Nilitulia, Nikarelax na Nikaendeleza Mapambano.

Baada ya wiki 1,
Namaanisha wiki ilofuata nilimpiga muhindi million 18.

Na mapambano Bado yanaendelea.
 
Akizinduka tena atatafuta buku ili akabeti tena! ukisha ingia huko huwezi kutoka,sijawahi kubeti na wala sitokuja kubeti,ni maamuzi yangu tu na kila mtu ana maamuzi yake kwenye maisha yake,Mpe pole sana jamaa yako.
Nilikuwa mbetiji mzuri ila tokea 2015 nimeacha kubeti na kama kubeti haijafika mara 15 tokea 2015 mpaka sasa

Unaweza kuacha mindset yako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…