Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 499
- 604
Kutana na william Masvinu ambae ameshinda mara tano kwene shindano la mtu mbaya zaidi zimbabwe linaloenda kama Mr.Ugly
William anasema anandoto ya kwenda kimataifa.
Kama ni mpenzi wa meme utakua unamfaham.
Geuza changamoto kua fursa
Fursa kwa wote source: Africa fact zone
William anasema anandoto ya kwenda kimataifa.
Kama ni mpenzi wa meme utakua unamfaham.
Geuza changamoto kua fursa
Fursa kwa wote source: Africa fact zone