Jamaa mwenye sura mbaya zaidi ashinda dolla 500 na Ng’ombe

Jamaa mwenye sura mbaya zaidi ashinda dolla 500 na Ng’ombe

Huyo mbona ata kwa Bambo tu hatoboi..?😀
Screenshot_20240812-184653_Chrome.jpg
 
Majaji wamezingua kinoma, huyo hata kwa hamorapa hatoboi, kiufupi hiyo ni ZUCHU tu
 
Mdau mbona handsome kabisa.....

Ushindi ungekua wangu kabisa huu dah....
 
Back
Top Bottom