mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
WaziRi mkuu mstaafu wa Tzukimlinganisha na nan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WaziRi mkuu mstaafu wa Tzukimlinganisha na nan
haaaa ila kama kuna pattern hiviWaziRi mkuu mstaafu wa Tz
Ngoja nimpigie nwanasheria wangu kwanza kabla sijaciment zaidihaaaa ila kama kuna pattern hivi
Nacheka ila naogopaaa😂Ngoja nimpigie nwanasheria wangu kwanza kabla sijaciment zaidi
Weka picha za washindani wakeKutana na william Masvinu ambae ameshinda mara tano kwene shindano la mtu mbaya zaidi zimbabwe linaloenda kama Mr.Ugly
William anasema anandoto ya kwenda kimataifa.
Kama ni mpenzi wa meme utakua unamfaham.
Geuza changamoto kua fursa
Fursa kwa wote source: Africa fact zone
masudi sijawai muona
Aah hii nayo ni hatariView attachment 3068042Masudi sura mbaya (R.I.P)
bambo kisu kabisa usimfananishe na huyo williamHuyo mbona ata kwa Bambo tu hatoboi..?😀
View attachment 3068040
Kwa walioshiriki shindano, yeye ndio mwenye sura mbaya. Wewe si haukushiriki?Ana sura gani mbaya huyo?
Mbona kama mwenyewe namshinda,
hilo shindano n la zimbabweHiyo picha ya tatu huyo mwingine ndio alistahili ushindi,shetani mwenyewe anasubiri
😂Huyu akipiga markup unajaa kabisa
Lemi ndiyo yupi?masudi au lemi
Kutana na william Masvinu ambae ameshinda mara tano kwene shindano la mtu mbaya zaidi zimbabwe linaloenda kama Mr.Ugly
William anasema anandoto ya kwenda kimataifa.
Kama ni mpenzi wa meme utakua unamfaham.
Geuza changamoto kua fursa
Fursa kwa wote source: Africa fact zone