Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Kuna mwana ana sura mbaya huyo hensamu, bodaboda anapaki Sinza kamanyora,wahuni wamemkaba wameiba pikipiki,wakamnyonya na mate kwa msisitizo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Remmy mjingaRemy ya 2 ila aliyapinga matokeo
Oca
Wahuni wa mwanyamala tena,alafu wakati mabaharia wahuni walikuwa wanatutamani🤣🤣🤣 Huyo km alikuwa na uwezo wa kula kunguru basi atakuwa na sura ya kutisha.!!
Hadi polisi walimkubali 😂
Inaonekana ulikuwa toto tundu wewe enzi hizo born town kitambo.!! 😂
Remy alisusa kabisa😂😂😂 Remmy mjinga
Kwahiyo alitaka yy awe no 1 kwa ubaya??
Juzi nilikua mitaa ya hapo mango ,Wahuni wa mwanyamala tena,alafu wakati mabaharia wahuni walikuwa wanatutamani
Kutukaba
Sema kipande kile nlikuwa na tag kubwa...enzi hizo utembe kuanzia kwa Ali maua mpk mango garden lazima ipigwe loba ya mbao ila kama wahuni wanakujuwa unapeta
Ova
😄Juzi nilikua mitaa ya hapo mango ,
Nikakuta Uhuru pamefungwa halafu wamebandika mabango kuwa hairuhusiwi kuuza miili.
Nikicheka sana,
😂😂 mlikuwa mna balaa.!Wahuni wa mwanyamala tena,alafu wakati mabaharia wahuni walikuwa wanatutamani
Kutukaba
Sema kipande kile nlikuwa na tag kubwa...enzi hizo utembe kuanzia kwa Ali maua mpk mango garden lazima ipigwe loba ya mbao ila kama wahuni wanakujuwa unapeta
Ova
Mzee wangu salva atakuwa anafurahi maana vurugu ya paleJuzi nilikua mitaa ya hapo mango ,
Nikakuta Uhuru pamefungwa halafu wamebandika mabango kuwa hairuhusiwi kuuza miili.
Nikicheka sana,
Ila Remmy 😂😂Remy alisusa kabisa
Oca
Alienda badaye nkaenda kumchomoa😂😂 mlikuwa mna balaa.!
Hapo ilikuwa undava undava!
Napenda mimi story za hivyo za ubabe ubabe.!
Kwahiyo sasa ikawaje yule jamaa yako alivyowaambia polisi watangulie alienda??
Watu wako seriousIla Remmy 😂😂
Yani yuko serious anautaka ushindi wa sura mbaya.!!?
Ukienda manzese kulikuwa na mtemi pia huko anaitwa santana😂😂 mlikuwa mna balaa.!
Hapo ilikuwa undava undava!
Napenda mimi story za hivyo za ubabe ubabe.!
Kwahiyo sasa ikawaje yule jamaa yako alivyowaambia polisi watangulie alienda??
😂😂😂 kwahiyo siza aliacha hiyo kamba shingoni au alipita nayo??Alienda badaye nkaenda kumchomoa
Alikuwa mwanangu sana
Zamani kulikuwa na ubabe sana
Ukivaa cheni wababe wanataka kukuvua 😄
Kuna siku hiyo baharia nlitoka safari kesho yake sasa ikawa mtungi nlianzia leaders pale usiku nkasema nkamqlizie langata sina wasi kinondoni kwangu ,ahh nkasema niende toilet nyuma nashikwa Bega kugeukaaa namuona Paul siza bondia wa uzito wa juu dah,akasemaaa dahh nlijuwa ngombe kumbe we baharia 😄 shingoni nna kamba nmevaa,nkamwambia siza hata mimi, wacha achekeee
Siza alikuwa anapiga ngumi na mkabaji 😄
Ova
Remmy kanichekesha sana 😂😂Watu wako serious
Ova
Remmy mtata,alikuwaga na gari bovu nyuma kaandika baba analo 😄Remmy kanichekesha sana 😂😂
Manzese ipi?Ukienda manzese kulikuwa na mtemi pia huko anaitwa santana
Ova
😂😂😂 “baba yako analo”Remmy mtata,alikuwaga na gari bovu nyuma kaandika baba analo 😄
Ova
Aliaacha,si ananijuwa😂😂😂 kwahiyo siza aliacha hiyo kamba shingoni au alipita nayo??
Yule mbona alikua anatoka hapo nje anapiga nyama choma kama kawaida.Mzee wangu salva atakuwa anafurahi maana vurugu ya pale
Alikuwa haipendi
Ova