binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Namba iko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo JF muda mrefu sana anakuchora tu.Huyu bado hajamfikia wetu yule masudi (rip)
Ova
Hivi tangu lini Zuchu ameanza kutumika kama kielelezo cha urembo nchini..? 😄😄Mbona zuchu kabisa huyu.
Sijui macho yangu au vipi mbona pisi tu.Kutana na william Masvinu ambae ameshinda mara tano kwene shindano la mtu mbaya zaidi zimbabwe linaloenda kama Mr.Ugly
William anasema anandoto ya kwenda kimataifa.
Kama ni mpenzi wa meme utakua unamfaham.
Geuza changamoto kua fursa
Fursa kwa wote source: Africa fact zone
😹😹 weka picha yake tuoneHuyu bado hajamfikia wetu yule masudi (rip)
Ova
Uyo lemi ni nani? Au ulimaanisha Remi?masudi au lemi
Hayo mashindano nlikuwa nahudhuria sana kama mdau😹😹 weka picha yake tuone
Ohhh.!! 😂😂😂Hayo mashindano nlikuwa nahudhuria sana kama mdau
Nakumbuka wajina masudi walikuwa wanamuambia rummy we mbn handsomeboy tu 😄
Ova
Huu uchokozi sasa 😂😂Wengi wanajificha tu ila huyu mrembo kabisa. Hata hamfikii mzee wangu mizengo peter Pinda
Ilikuwa 96 ....masoud alupewa 50000/ remember hakukubaliana na matokeo 😄Ohhh.!! 😂😂😂
Mwaka gani hiyo?
Rummy yupi? Naye alikuwa na sura pasono sana?? 🤣
Dah.! 😂😂Ilikuwa 96 ....masoud alupewa 50000/ remember hakukubaliana na matokeo 😄
Ova
Miaka hiyo nlitaka kumuingiza mwanangu mmoja alikuwa mhuniHuu uchokozi sasa 😂😂
,jamaa mrembo kabisa aisee.Huyu kahonga sio bure mbona ni mrembo kabisa huyo.
🤣🤣🤣 Huyo km alikuwa na uwezo wa kula kunguru basi atakuwa na sura ya kutisha.!!Miaka hiyo nlitaka kumuingiza mwanangu mmoja alikuwa mhuni
Alafu mtu wa makaburini pale kwa kopa,nlimpangaga nmpeleke
Alikuwa bonge la mhuni haha
Sura yake masud anasubiri...alikuwa anaitwa mashkulumbwe,huyo kuna siku polisi walimpiga ambush gheto kwake wakamkuta anawanyonyoa kunguru awapike
😄 polisi wenyewe wakagwaya
Akawambia watangulie kituoni yy atakuja
Sema changamoto mwanangu yule alikuwa na TB
Ova
😂😂😂 kwahiyo hao ndio top 3Wa kushoto
Oca
Remy ya 2 ila aliyapinga matokeo😂😂😂 kwahiyo hao ndio top 3
Basi ilikuwa balaa, huyo mwingine si Dr Remmy? Yeye alishinda nafasi ya ngapi??