stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Nimekwambia CHIZI mwenye Sura mbaya Wewe si umesema mwenye Sura mbayachizi kumbe siyo sura mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekwambia CHIZI mwenye Sura mbaya Wewe si umesema mwenye Sura mbayachizi kumbe siyo sura mbaya
😂😂😂Nimekwambia CHIZI mwenye Sura mbaya Wewe si umesema mwenye Sura mbaya
Kioo cha simu yako kita-crack mzee siyo poa.weka picha yako tuwalinganishe
masiharambona jamaa ni mrembo kabisa
masudi sijawai muonaMasudi 😄
Ova
hii ova unaiandikajeMasudi 😄
Ova
mkuu weka tu, usiangalie ya watuDaaah kweli kuna baadhi ya nchi tafsiri ya mtu mbaya bado hawaijui.
Ningeweza kuweka mfano hapa wa picha yangu ila kizazi cha criticism mtasema tu ni Photoshop
wewe n poor brain ubongo usio na kituNikajua kashinda vocha 😂 😂 😂 😂
ha ha haJamaa handsome kabisa kwanza kakalishwa nakada wetu mkuu wa chama Mr Stiven Masatu Wassira.
Daaah kweli kuna baadhi ya nchi tafsiri ya mtu mbaya bado hawaijui.
Ningeweza kuweka mfano hapa wa picha yangu ila kizazi cha criticism mtasema tu ni Photoshop
Qeey kichwani una mavi 😂😂😂😂😂wewe n poor brain ubongo usio na kitu
Mbona mrembo kwaiyo hapo yeye ndo anajiona anasura mbaya?Kutana na william Masvinu ambae ameshinda mara tano kwene shindano la mtu mbaya zaidi zimbabwe linaloenda kama Mr.Ugly
William anasema anandoto ya kwenda kimataifa.
Kama ni mpenzi wa meme utakua unamfaham.
Geuza changamoto kua fursa
Fursa kwa wote source: Africa fact zone
Majaji washikiliwe haraka sana, huyo jamaa byuti byuti kabisa.Tuko pamoja sana. Majaji wameshikishwa kitu kidogo.
Sijui ila hatishiukimlinganisha na nan