Jamaa mwenye sura mbaya zaidi ashinda dolla 500 na Ng’ombe

Jamaa mwenye sura mbaya zaidi ashinda dolla 500 na Ng’ombe

Aliaacha,si ananijuwa
Sema badaye alikuja uwawa
Aliingia kwenye ujambazi
Walienda kufanya tukio na nahisi ndy la kwanza,waliposhtukiwa wenzake wakakimbia wakamuacha nyuma huku wakammaliza

Ova
Dah! Alikufa kifo kibaya maskini, hilo ndio tatizo la kuwa mbabe sana.!!
 
Back
Top Bottom