Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 499
- 604
masudi au lemiHuyu bado hajamfikia wetu yule masudi (rip)
Ova
weka mkuu unaweza kushindaDaaah kweli kuna baadhi ya nchi tafsiri ya mtu mbaya bado hawaijui.
Ningeweza kuweka mfano hapa wa picha yangu ila kizazi cha criticism mtasema tu ni Photoshop
zimbabwe ndo kashinda sasaMbona handsome
Mbona ni wa kawaida tu?!Kutana na william Masvinu ambae ameshinda mara tano kwene shindano la mtu mbaya zaidi zimbabwe linaloenda kama Mr.Ugly
William anasema anandoto ya kwenda kimataifa.
Kama ni mpenzi wa meme utakua unamfaham.
Geuza changamoto kua fursa
Fursa kwa wote source: Africa fact zone
washindani labda wasiwe weusi😀Mbona ni wa kawaida tu?!
Kimataifa hatoboi kama kukiwa na muamko
ukimlinganisha na nanHuyu kahonga sio bure mbona ni mrembo kabisa huyo.
Huyu mrembo ndiyo wanasema mbaya?Kutana na william Masvinu ambae ameshinda mara tano kwene shindano la mtu mbaya zaidi zimbabwe linaloenda kama Mr.Ugly
William anasema anandoto ya kwenda kimataifa.
Kama ni mpenzi wa meme utakua unamfaham.
Geuza changamoto kua fursa
Fursa kwa wote source: Africa fact zone
ndo maqnq ya ubaya ubwelaSura kama mkunjano wa goti na paja la mguu
Tuko pamoja sana. Majaji wameshikishwa kitu kidogo.Huyu kahonga sio bure mbona ni mrembo kabisa huyo.
😂😂😂Tuko pamoja sana. Majaji wameshikishwa kitu kidogo.
chizi kumbe siyo sura mbayaHuyo Mrembo tu kuna CHIZI wetu mmoja huku anakula kinyesi cha Ng'ombe na Nguruwe yaan huyo ni Zuchu
weka picha yako tuwalinganisheAna sura gani mbaya huyo?
Mbona kama mwenyewe namshinda,hao jamaa watakuwa hawakuwa serious na pambano lao.