Dah! Alikufa kifo kibaya maskini, hilo ndio tatizo la kuwa mbabe sana.!!Aliaacha,si ananijuwa
Sema badaye alikuja uwawa
Aliingia kwenye ujambazi
Walienda kufanya tukio na nahisi ndy la kwanza,waliposhtukiwa wenzake wakakimbia wakamuacha nyuma huku wakammaliza
Ova
Sasa sahv utamletea nani ubabeDah! Alikufa kifo kibaya maskini, hilo ndio tatizo la kuwa mbabe sana.!!
Mrembo sana kamzidi urembo hadi zuchu.,jamaa mrembo kabisa aisee.
Mbona ni mrembo au naanza kuzeeka?Kutana na william Masvinu ambae ameshinda mara tano kwene shindano la mtu mbaya zaidi zimbabwe linaloenda kama Mr.Ugly
William anasema anandoto ya kwenda kimataifa.
Kama ni mpenzi wa meme utakua unamfaham.
Geuza changamoto kua fursa
Fursa kwa wote source: Africa fact zone
he he he we bwana wwMbona ni mrembo au naanza kuzeeka?
lahaulaaaahMrembo sana kamzidi urembo hadi zuchu.
anakushinda wwMbona jamaa ni mzuri handsome kabisa.
😂😂😂Huyo mbn mzuri