komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Haya ni matumizi mabaya ya nyege sasaBora kilaza kuliko ngumbaru asiyejua herufi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ni matumizi mabaya ya nyege sasaBora kilaza kuliko ngumbaru asiyejua herufi.
Hana anachojua huyo, ni wale wale wazee wa kucheza vibao kata na kukaa vijiweniWacha kujifanya mjuaji na hakuna unachokijua. Kwani New City haipo New York?
USA still has the largest economy and China can only compete thanks to its humongous population.Nchi inayoongoza kwa uchumi mkubwa duniani haina demokrasia
Kenyans wana mental issues kwa kweli, tena wana ongea with pride kuwa wao wanaongea British English when nobody undestands them as wanaongea kwa Kenyan accent. Every country needs to have their own identity and a language is one of them NOT bloody colonial languages.Kuna siku nilikuwa nimeenda ofisini kwa mshua.
Kufika pale ofisi ya nje kwa sekretari, nikakuta watu wengi wanasubiri kumuona mkuu.
Nikaunga treni kukaa kusubiri. Tulikuwa weusi watupu.
Mshua akimaliza kuongea na mtu, anamtoa ofisini kwake mpaka ofisi ya nje kwa sekretari. Akawa anaona mstari mzima ulivyokaa nani anakuja next.
Sasa, akaja mzungu. Sekretari akamshobokea mzungu. Akamuweka mzungu mwanzo wa mstari apite watu wote waliokuwapo.
Mzungu akaenda kumuona mshua.
Basi mimi mtoto wa nyumbani nikawekwa mwisho. Nilivyomaliza, mshua akamsema sana yule sekretari.
Akamwambia, usimpitishe mtu kuruka mstari kwa sababu ni mzungu tu. Yule mzungu uliyemrusha mstari ni tapeli tu. Kuna watu wana biashara kubwa umewaacha umewaruka, umemtanguliza mzungu tapeli tu.
Sasa hawa ndugu zetu nao habari za kumshadadia mzungu wamenikumbusha sekretari wa baba yangu.
They are a sad society...they pretend too much.Wakenya hawana identity yeyote Kama taifa
They are copycats ,pretenders ,haters , tribalists and many others shit stuffs
Lol @ Amu 'NGOING' tu bayi breeedy. Guys just speak Kikuyu, we will try to understand you.Afu going wanatamka ngoing pumbafff English speaking kiss my black as.
hamjijui tu jinsi mlivyo wajinga kabisa mkiona wazungu manatetemeka kweli , inferiority complex hatuna tunapenda sana vya kwetu ndiyo maana bongo fleva, taarabu, bongo movie,azam tv,ligi ya soka zina flourish, tunajipenda sanaa siyo nyie mkipata NOD ya wazungu mnachanganyikiwa kabisaKwenu kunao kwetu kunao. Ila hutatupata Sisi tukishinda tukiposti was kwenu maanake hatuna inferiority complex kama nyie.
Mama samia nae mzungu[emoji1787][emoji1787]hamjijui tu jinsi mlivyo wajinga kabisa mkiona wazungu manatetemeka kweli , inferiority complex hatuna tunapenda sana vya kwetu ndiyo maana bongo fleva, taarabu, bongo movie,azam tv,ligi ya soka zina flourish, tunajipenda sanaa siyo nyie mkipata NOD ya wazungu mnachanganyikiwa kabisa
New York city sio mji wako mzee. You are just an immigrant in New York city. Mji wako ni Dar es salaam na Nairobi city imeichapa vibaya sana.Wewe hata nikikuuliza mzungu ni nani sijui kama utaweza kunijibu.
Mimi kwangu New York City, kama kweli unataka kushindanisha miji niambie tushindanishe Nairobi na New York City.
Lol @ Amu 'NGOING' tu bayi breeedy. Guys just speak Kikuyu, we will try to understand you.
Never in a milion this is accurate.
Hilo ni lenu, ndio maana kila siku kujichibua na kushobokea weupe was Rangi ya mwili.hamjijui tu jinsi mlivyo wajinga kabisa mkiona wazungu manatetemeka kweli , inferiority complex hatuna tunapenda sana vya kwetu ndiyo maana bongo fleva, taarabu, bongo movie,azam tv,ligi ya soka zina flourish, tunajipenda sanaa siyo nyie mkipata NOD ya wazungu mnachanganyikiwa kabisa
Afu going wanatamka ngoing pumbafff English speaking kiss my black as.
Andú a wúiru nímaheo redikadi! 😄Lol @ Amu 'NGOING' tu bayi breeedy. Guys just speak Kikuyu, we will try to understand you.
Bongo fleva ni ujinga tu si muziki wa Tanzania.hamjijui tu jinsi mlivyo wajinga kabisa mkiona wazungu manatetemeka kweli , inferiority complex hatuna tunapenda sana vya kwetu ndiyo maana bongo fleva, taarabu, bongo movie,azam tv,ligi ya soka zina flourish, tunajipenda sanaa siyo nyie mkipata NOD ya wazungu mnachanganyikiwa kabisa