Jamaa mwenyewe kasema Nairobi kumejengwa kushinda Dar es Salaam

Jamaa mwenyewe kasema Nairobi kumejengwa kushinda Dar es Salaam

ukimaliza kula githeri uende kunya halafu hayo matako usafishe na maji maana hapo nairobi mnatembea na mavi kwa matako eti mnajiita wazungu mnatumia toileti papers tu, pumbavu
CCM hoyeee[emoji1787][emoji1787]
Mataga katika ubora wake, hapo anasubiria kiongozi wa UVCCM ampe mwongozo wa jinsi wa kuendesha ubongo wake
 
CCM hoyeee[emoji1787][emoji1787]
Mataga katika ubora wake, hapo anasubiria kiongozi wa UVCCM ampe mwongozo wa jinsi wa kuendesha ubongo wake
niko busy na mechi ya simba na yanga nikimaliza nitakuja kubishana na wewe later
 
Lissu kw sasa ndio mpinzani mkubwa tanzania, we ukitaka lia sasa..
Sijaona nchi karne hii ya sasa opposition leader anaishi km yatima, hyo utakuta katika banana republics tu km vile tz, somalia
Hahaha. Ni kweli. Jamaa anaishi ni kama yatima. Baada ya kumwagiwa marisasi kama ishirini hivi na baada ya kuibiwa kura mchana peupe, jamaa sasa ni mkimbizi Belgium.
Cc eliakeem
 
y
Hamna haja ya matusi. Tuzungumze tu kiutu uzima.
yaani mtu anitukane mimi ninyamaze, unajua katika majuwakaa yote hili hapa huwa na li avoid sababu ya ubishani wa kijinga kuhusu majumba ya dsm na nairobi,ila hii nimechangia sababu huwa nashinda you tube kuangalia videos za hawa travellers ,trust me kwa style ya sabatical bado sana kwa mfano dsm alikuwa anatoa conclusions za uongo hata kutaja prices za apartments
Anyway msubiri afike ndanindani huko nairobi hopefully hawatamuibia kamera yake hiyo
 
Ata Suluhu alikuja Nai dakika chache tu Akasema ni Kama London✊🔥🔥Tafakari hayo pia
 


Emnbu tuelewane kitu kimoja wakenya dar es salaam na nairobi ni vitu viwili tofauti, historically, geographically,culturally....kama arusha ingekuw na sky scrappers nyingi ungeweza ku i compare na nairobi, dar es salaam inaendana mengi sana na mombasa style ya waarabu kama zile middle east cities
city centre ya dsm walivunja majengo mengi ya kizamani(kiarabu)ndipo sasa siku hizi kuna sky scrappers lakini nyingi ziko pembeni ya mji na ndipo tunapotaka, CBD ya nairobi iko vizuri sana majengo mengi marefu yamekusanyana sehemu moja ni rahisi kuyaona
Kampla wao mji uko kwenye kampala road tu pembeni ni shida, nairobi pembeni kumejaa big slums
 
Lissu kw sasa ndio mpinzani mkubwa tanzania, we ukitaka lia sasa..
Sijaona nchi karne hii ya sasa opposition leader anaishi km yatima, hyo utakuta katika banana republics tu km vile tz, somalia

Labda mpinzani mkubwa kwenu.

Hana jipya yule. A poor attention seeker.
 
Hakuna mzungu aliyeshadadiwa hapo[emoji1787] au basi km unaumia sana tuonyeshe videoa akisema dar iko verry kuliko nairobi
Wewe hata nikikuuliza mzungu ni nani sijui kama utaweza kunijibu.

Mimi kwangu New York City, kama kweli unataka kushindanisha miji niambie tushindanishe Nairobi na New York City.
 


Emnbu tuelewane kitu kimoja wakenya dar es salaam na nairobi ni vitu viwili tofauti, historically, geographically,culturally....kama arusha ingekuw na sky scrappers nyingi ungeweza ku i compare na nairobi, dar es salaam inaendana mengi sana na mombasa style ya waarabu kama zile middle east cities
city centre ya dsm walivunja majengo mengi ya kizamani(kiarabu)ndipo sasa siku hizi kuna sky scrappers lakini nyingi ziko pembeni ya mji na ndipo tunapotaka, CBD ya nairobi iko vizuri sana majengo mengi marefu yamekusanyana sehemu moja ni rahisi kuyaona
Kampla wao mji uko kwenye kampala road tu pembeni ni shida, nairobi pembeni kumejaa big slums

Hapa umegonga point.
 
sabattical soon ataingia kibera na mathare , msijali nita upload haraka sana hapahapa
In the mean time enjoy hii clip ya DREW BRISKY NDANI YA THE AFRICA'S BIGGEST SLUM..hahahahahaha WAVIVU WA KIBERA WANATUMIA HADI FLYING TOILETS

 
Back
Top Bottom