Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Wacha uzuz ni wapi amesema nyie mko mbele...pumba zimekujaa...Huyu mzungu ameishi Dar es salaam kwa muda sasa. Amefika Nairobi na kusema kwamba Nairobi ipo more developed than Dar es salaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha uzuz ni wapi amesema nyie mko mbele...pumba zimekujaa...Huyu mzungu ameishi Dar es salaam kwa muda sasa. Amefika Nairobi na kusema kwamba Nairobi ipo more developed than Dar es salaam
An objective observation by a neutral person neither a Kenyan nor a Tanzanian, mbona uteseke sasa., kubali yaishe, wacha wengine wawe waamuzi na sio mkenya ama mtanzania..,Sasa unakuwa zaidi ya mpuzi ....kwanza ukiwa timamu huwez conclude base on one person opinion sec ni kuwa mock amewa mock[emoji23][emoji23][emoji23]
Wakenya hawana identity yeyote Kama taifaNdiyo maana wanasema wao ni English speaking country, what country doesn't have their own language mpaka unashabikia a bloody colonial language and even when they talk they talk funny. Kenyans, it's time you need to assess yourselves for real, it's a shame. You still have judges there wearing wigs to resemble White people (colonial masters). You people have mental issues kwa kweli, what is it about wazungu that are driving you guys crazy?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1483]Wamempeleka sehemu zilizo dekiwa tu.
Washuke naye mpaka kule kwenye flying toilets.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio mlidanganywa na mababu zenu hadi waleo hiyo propaganda ime watia chuki na wivu isio kuwa na sababu mwafaka, ni hadithi za vijiweni na propaganda.., endeleeni kuteseka.Wakenga hawana identity yeyote Kama taifa
They are copycats ,pretenders ,haters , tribalists and many others shit stuffs
Licha ya hayo, yale kidogo ameyaona kulinganisha na dar yoote ambako anaishi, amesha conclude hakuna comparison.., bado mko ovyo.., CBD tu, nje kidogo 90%., ni uswazi tupu.., yaani maisha ya kimasikini ya mashambani mjini..,Wamempeleka sehemu zilizo dekiwa tu.
Washuke naye mpaka kule kwenye flying toilets.
🤣🤣🤣
hawa wazungu ndo wameshikiria asiilimia 90 ya uchumi wenu na wale wazungu weusi kina -MOI na KENYATA while nyie ma lolife mnakaa vijiweni kwe slums za kibera mkinywa chang'aa mnakuja na hizi story?Kuja hapa next time weka vila yako hapo westland,muthaiga au karen kuliko kuongea huu ujinga.Angekuwa Mnijeria bado tungesema. Yani kuu ni kwamba yeye ako non-partisan. Hana sababu ya kupendelea Kenya au Tanzania maanake mimi Mkenya nitapendelea Kenya nawe Mtanzania utapendelea Tanzania. Ungekua na akili ungefikiria hivo.
ukimaliza gombana na watanzania unaamia ukikuyu na uluo ukitoka hapo utaamia kwe tajiri na maskini..your so devided you pathetic kunyansNdio mlidanganywa na mababu zenu hadi waleo hiyo propaganda ime watia chuki na wivu isio kuwa na sababu mwafaka, ni hadithi za vijiweni na propaganda.., endeleeni kuteseka.
Huyu mzungu ameishi Dar es salaam kwa muda sasa. Amefika Nairobi na kusema kwamba Nairobi ipo more developed than Dar es salaam
You are sooo poor you pathetic Tanzania, mafukara wa EAC kwa kila kitu.., mnavuta mkia., na kuangukia pua in many ways! mnatia huruma sana..,ukimaliza gombana na watanzania unaamia ukikuyu na uluo ukitoka hapo utaamia kwe tajiri na maskini..your so devided you pathetic kunyans
Ukweli imekutesa roho, vumilia jamaa, jikubalini mtapona siku moja., but not in this current generation, mliolishwa propaganda na uwezo finyu wa kifikra.hawa wazungu ndo wameshikiria asiilimia 90 ya uchumi wenu na wale wazungu weusi kina -MOI na KENYATA while nyie ma lolife mnakaa vijiweni kwe slums za kibera mkinywa chang'aa mnakuja na hizi story?Kuja hapa next time weka vila yako hapo westland,muthaiga au karen kuliko kuongea huu ujinga.
sawa agiza chang"aa ntalipia mimi while kenya keep on fuckin your economyUkweli imekutesa roho, vumilia jamaa, jikubalini mtapona siku moja., but not in this current generation, mliolishwa propaganda na uwezo finyu wa kifikra.
We already established all the 20 richest men in Tanzania are either Arabs or Indians. In Kenya, no white man ranks in the top 20 so wacha kuturudisha kwenye topic ambazo tumemaliza.hawa wazungu ndo wameshikiria asiilimia 90 ya uchumi wenu na wale wazungu weusi kina -MOI na KENYATA while nyie ma lolife mnakaa vijiweni kwe slums za kibera mkinywa chang'aa mnakuja na hizi story?Kuja hapa next time weka vila yako hapo westland,muthaiga au karen kuliko kuongea huu ujinga.
Hakuna kitu kama hicho. Tundu Lissu is not Miguna Miguna equivalent. Tundu Lissu ndiye officiall opposition leader wa Tanzania. Mtu ambaye alimaliza number mbili katoka uchaguzi. Equivalent ya Raila Odinga huku Kenya.
Opposition wana rights sio kupigwa risasi. Unanikumbusha era za maiti Moi.
Yani bado mnashare this article from 2015 yenye hata hamkuielewa? 🤣 🤣
Ebu weja picha za hizo real estate tusizone😂😂