DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
Hii code ni nyepesi sana kuna baadhi ya watu wataing'amua.
Nilipokuwa advance form 5 jamaa yangu/ rafiki yangu alinishirikisha kitu kwamba anahitaji kugombea kuwa head prefect wa pale skul.
Mimi sikumpinga, huyu mwamba tulikuwa ni watu wa utani sana na kuzinguana sana ila mwisho wa yote tukiwa tunadiscuss mambo ya msingi huwa tunaweka tofauti zetu pembeni na kufikia muafaka.
Mimi honestly nilikuwa mzuri kwenye ngeli japo advance hatukuwa tunasoma combination za arts means hiyo ngeli nilitoka nayo o level.
Jamaa yangu akaniomba tushirikiane tuchore barua nzuri ya kuomba kugombea uongozi. Bila hiyana tukakaa tukaiandika vizuri kwa kingereza, mwamba kasubmit.
Sasa pale skuli kulikuwa na utararibu kwamba uchaguzi ni kwa hp, gs(mshindi wa pili nafas ya hp), academic na discipline ila nafasi zingine zote ni hp ndo anateua kwahyo kulikuwa na teuzi za hp.
Sasa mimi nikastuka mapema nikamuita jamaa tukakaa chini nikamuuliza kuhusu return yangu ni nini endapo tukipambana akapata kuwa hp yani nitafaidika nini.
Jamaa akanambia anafahamu hilo na hataniacha bila nafasi yoyote. Kwasababu jamaa namfahamu ni mtu wa siasa sana na ni kigeu geu sana nilimbana aniahidi atanipa nafasi gani.
Jamaa akaniahidi kwamba hataniacha bila uteuzi chakufanya tupambane tu.
SIASA NI MCHEZO MCHAFU WAZEE.
Ukifuatilia threads zangu za nyuma utagundua kuwa mimi skuli nilikuwa dancer mzuri sana.
Jamaa alichokifanya alinifata mimi na wenzangu kwenye kikundi cha dance, akawafata washkaji wangu wengine walikuwa kwenye kuimba na wengine walikuwa kwenye kucheza mpira.
Skuli ina o level na advance na jamaa ni alikuwa mtu wa jamii hiyohiyo ya huko na o level alisomea skuli jirani na ile skul tulokuwa tunasomea.
Yani o level alisomea skul ya serikali inayopatikana karibu na skul aliyochaguliwa kusoma advance.
Kwahiyo jamaa aliona kabisa kwamba kura nyingi atazipata kutokea o level na siyo advance kwasababu yule mpinzani wake alikuwa anakubalika sana na washkaji wa advance ila o level hakuwa na political bases na power kubwa kumshinda mshkaji wangu.
Jamaa akatukusanya washkaji ambao tulikuwa na influence na mashabiki wengi kutoka upande wa o level kutokana na vipaji tulivokuwa navyo. Kifupi jamaa alijua kuitumia rasilimali watu aliyokuwa nayo na tuliyokuwa nayo sisi washkaji zake.
Wale ma footballer wa advance walikuwa na washkaji wao o level ma footballer wenzao akiwemo huyu jamaa mchezaji wa zamani wa Yanga na Sasa yupo JKT (ni fullback namba tatu left footer watu wa boli washamjua) jina lake kapuni japo huyu yeye hakuwa anajihusisha sana na kampeni za huyu mwamba wetu(mgombea)
Kwahiyo tulikuwa tunazunguka madarasani hasa o level tunacheza mziki, wakuimba wanaimba na wa kuchezea mpira kwa danadana na control za kiufundi walifanya yao lengo kuuteka umma ili tupate kura siku ya uchaguzi.
Siku ya uchaguzi ikafika.
Tutaendelea...
Nilipokuwa advance form 5 jamaa yangu/ rafiki yangu alinishirikisha kitu kwamba anahitaji kugombea kuwa head prefect wa pale skul.
Mimi sikumpinga, huyu mwamba tulikuwa ni watu wa utani sana na kuzinguana sana ila mwisho wa yote tukiwa tunadiscuss mambo ya msingi huwa tunaweka tofauti zetu pembeni na kufikia muafaka.
Mimi honestly nilikuwa mzuri kwenye ngeli japo advance hatukuwa tunasoma combination za arts means hiyo ngeli nilitoka nayo o level.
Jamaa yangu akaniomba tushirikiane tuchore barua nzuri ya kuomba kugombea uongozi. Bila hiyana tukakaa tukaiandika vizuri kwa kingereza, mwamba kasubmit.
Sasa pale skuli kulikuwa na utararibu kwamba uchaguzi ni kwa hp, gs(mshindi wa pili nafas ya hp), academic na discipline ila nafasi zingine zote ni hp ndo anateua kwahyo kulikuwa na teuzi za hp.
Sasa mimi nikastuka mapema nikamuita jamaa tukakaa chini nikamuuliza kuhusu return yangu ni nini endapo tukipambana akapata kuwa hp yani nitafaidika nini.
Jamaa akanambia anafahamu hilo na hataniacha bila nafasi yoyote. Kwasababu jamaa namfahamu ni mtu wa siasa sana na ni kigeu geu sana nilimbana aniahidi atanipa nafasi gani.
Jamaa akaniahidi kwamba hataniacha bila uteuzi chakufanya tupambane tu.
SIASA NI MCHEZO MCHAFU WAZEE.
Ukifuatilia threads zangu za nyuma utagundua kuwa mimi skuli nilikuwa dancer mzuri sana.
Jamaa alichokifanya alinifata mimi na wenzangu kwenye kikundi cha dance, akawafata washkaji wangu wengine walikuwa kwenye kuimba na wengine walikuwa kwenye kucheza mpira.
Skuli ina o level na advance na jamaa ni alikuwa mtu wa jamii hiyohiyo ya huko na o level alisomea skuli jirani na ile skul tulokuwa tunasomea.
Yani o level alisomea skul ya serikali inayopatikana karibu na skul aliyochaguliwa kusoma advance.
Kwahiyo jamaa aliona kabisa kwamba kura nyingi atazipata kutokea o level na siyo advance kwasababu yule mpinzani wake alikuwa anakubalika sana na washkaji wa advance ila o level hakuwa na political bases na power kubwa kumshinda mshkaji wangu.
Jamaa akatukusanya washkaji ambao tulikuwa na influence na mashabiki wengi kutoka upande wa o level kutokana na vipaji tulivokuwa navyo. Kifupi jamaa alijua kuitumia rasilimali watu aliyokuwa nayo na tuliyokuwa nayo sisi washkaji zake.
Wale ma footballer wa advance walikuwa na washkaji wao o level ma footballer wenzao akiwemo huyu jamaa mchezaji wa zamani wa Yanga na Sasa yupo JKT (ni fullback namba tatu left footer watu wa boli washamjua) jina lake kapuni japo huyu yeye hakuwa anajihusisha sana na kampeni za huyu mwamba wetu(mgombea)
Kwahiyo tulikuwa tunazunguka madarasani hasa o level tunacheza mziki, wakuimba wanaimba na wa kuchezea mpira kwa danadana na control za kiufundi walifanya yao lengo kuuteka umma ili tupate kura siku ya uchaguzi.
Siku ya uchaguzi ikafika.
Tutaendelea...