Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
Kwa nini umeshangaa? Sio kawaida Don?Cool, nimeshangaa sana dogo kuja na hii topic.
Kama atayatumia aliyoambiwa atafanya vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini umeshangaa? Sio kawaida Don?Cool, nimeshangaa sana dogo kuja na hii topic.
Kama atayatumia aliyoambiwa atafanya vizuri.
Pm ndo wap mkuuHahahahahha emb nenda pm ujioneee
Nisha jua poa poaPole
Aa inboxHaya ngoj nkupe lesson yapo co mtaalamu wa kueditView attachment 1673044
Kwa nini umeshangaa? Sio kawaida Don?
Oo kumbe!Siyo kawaida kabisa aisee, binafsi wakati nasoma nilijua najua kila kitu kinachotakiwa.
Ila ukishamaliza unakuja kugundua umuhimu wa kuwa na mtu mwenye experience ya kukupa hii guide.
Amna mkuu sina kabisa na sina wazo kua naeKuwa mkweli ili wazee wako tukushauri, tayari una mtoto mkali hapo darasani?
Sawa sawa kabisa, mwanangu hayo endelea kujiepusha nayo kwani yatakutoa kwenye lengo.Amna mkuu sina kabisa na sina wazo kua nae
sasa muandiko gani huo hadi huyu kijana mdogo wa sekondari anakuzidi. unatuaibisha mkuu[emoji16][emoji28]Aaaaa bora tu mwende maan ndo chanzo cha thread zisizo na kichwa wal miguu ukasome vjn alf mkfunga mkeshe fb huk hakuwafai umesikiaView attachment 1673018
Asante nitazinatiaSawa sawa kabisa, mwanangu hayo endelea kujiepusha nayo kwani yatakutoa kwenye lengo.
am 18.5How old are you?
Hahahahaha! Sawa mkuuWashauri wenzio wapunguze kupiga punyeto inamaliza kumbukumbu... maana vyoo vya bwen huwa vinateleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata we umeona ee!Bora muendee shulee
Wacha umalize kidato uje uraiani,utauelewa tu huo msemo.Ndio
Sawa mkuu ila niambie tu saiviWacha umalize kidato uje uraiani,utauelewa tu huo msemo.