Jaman kweli Tanga raha!

Jaman kweli Tanga raha!

Hahahaaaa. [emoji85] [emoji85] [emoji85]

Ngoja nikakumbuke nakuja na jibu muda huu huu sababu ile ngoma iache bana. [emoji125] [emoji125]
usiite ngoma Lile ni goma la tanga! mana sio la mchezo mchezo! je ulishawahi kusikia ile inayo imba "masham sham x2 goma la tanga,tanga tanga, tanga jiji hilo."ila sio baikoko asili.
subiri niingie kwenye daladala ya mikanjuni alaf nitashuka pale *mbwa kachoka*.
 
huku kwetu bwana aloo,mapenzi yalipo zaliwa ni soo,kuna goma likipigwa kiboko,mwari hakirudi harusini,harusini,
utakuta watu wakicheza sukuma mama sukuma,mwanangu sukuma,kidogo dogo sukuma,mwana mama sukuma,mwanakombo sukuma,mwajuma sukuma,kidogo dogo sukuma.
Tiriri mwajuma tiriri,tiriri mwanangu tiriri,tiriri mama tiriri.

sasa ilo goma ndio ulifungulie ukiwa chumbani na beib we hakika unampa hamasa kwelikweli hapo ndio utajua hilo ni goma la wapi? warning Do not try this at guest house!
Tahadhari 2; kama hauja kaza usijaribu unaweza ukakatika(dushe)


Wacha ujinga mkuu, Tanga hakuna mapenzi bali ushirikina tu. Mwanamme unachotwa hisia zako na kuhisi unapendwa kumbe umeshafanywa zezeta tayari.
 
hebu nishawishi vzur, ila nkija we ndo utakua mwenyeji wangu unitembeze pangani na amboni
Umeona sasa hiyo ndio sifa yetu wanawake wa Tanga nimekushawishi kwa lugha laini kabisaaaa pasi ugomvi naona umeanza kuja kuja. [emoji122] [emoji122] [emoji122]

Usijali ntazidi kukushawishi na ukiona panakufaa karibu sana mie ntakuwa mgeni wako.
 
usiite ngoma Lile ni goma la tanga! mana sio la mchezo mchezo! je ulishawahi kusikia ile inayo imba "masham sham x2 goma la tanga,tanga tanga, tanga jiji hilo."ila sio baikoko asili.
subiri niingie kwenye daladala ya mikanjuni alaf nitashuka pale *mbwa kachoka*.
"Tanga Tanga Tanga Tanga jiji hilooo. Lol Wagosi wakaya ndio wameimba.

Naufahamu sana tu.
 
Back
Top Bottom