Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

Mpk hapo umekua sio mzalendo,utakua unatumika mabeberu mkuu.
Wewe inaonekana sio mfanya kazi maana usingeongea kwa kujitoa fahamu, kwani kutumika na mabeberu kuna kuwaje mfano. ndio mlitunga sheria za kuwanyamanzisha watanzania wasiwe wanadai haki zao, pumbavu
 
Kaaa kimya na uendelee kutii mamlaka mpaka pale watakapoamua kukulipa. Askari kuwa mkakamavu. Shubaaamit
Nitakaa kimya kama ww na wenzio ndio wamiliki halali wa nchi hii kama mnavyojigamba, tumeshakuwa werevu msifikiri kila mtu ni zezeta uchawi wenu ume expire
 
Nitakaa kimya kama ww na wenzio ndio wamiliki halali wa nchi hii kama mnavyojigamba, tumeshakuwa werevu msifikiri kila mtu ni zezeta uchawi wenu ume expire


Utalipwa serikali tunawatambua RAIA wote waliolijenga taifa letu la asari na maziwa.
 
Nitakaa kimya kama ww na wenzio ndio wamiliki halali wa nchi hii kama mnavyojigamba, tumeshakuwa werevu msifikiri kila mtu ni zezeta uchawi wenu ume expire
[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana mzee wangu, nikushauri tu uwaombe waliobaki kazini sasa wasimamie haki. Maana mkishamaliza kutumika mnatemwa kama bublish.

Juzi kuna mkuu wenu mmoja mstaafu ghorofa lake limeuzwa na benki kashindwa kulipa mkopo.
 
Wewe inaonekana sio mfanya kazi maana usingeongea kwa kujitoa fahamu, kwani kutumika na mabeberu kuna kuwaje mfano. ndio mlitunga sheria za kuwanyamanzisha watanzania wasiwe wanadai haki zao, pumbavu
Mkuu Magufuli mitano tena.

Naona unahamu ya kupigwa 'doso'.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana mzee wangu, nikushauri tu uwaombe waliobaki kazini sasa wasimamie haki. Maana mkishamaliza kutumika mnatemwa kama bublish.

Juzi kuna mkuu wenu mmoja mstaafu ghorofa lake limeuzwa na benki kashindwa kulipa mkopo.
Sio yule dingi anaefanana na Shetta mkuu'?
 
Poleni wazee wetu
Serikali ya JPM fanyieni kazi hii kero ya wazee wetu
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Muumnde kikundi cha kufuatilia serikalini inaweza ikasaidia.
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Hapa kazi tu.
Halipi pensheni. Anajenga Chato Airport. Daraja la Kigongo. Hospital ya Rufaa Chato. Uwanja wa mpira Chato.

Jamani tuwe Wazalendo japo kidogo.
 
Back
Top Bottom