Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 4,033
- 8,805
Niwe mkakamavu kwenye haki yangu kwani mi mtumwa au naendeshwa kama gari bovu
Mbona kabla ya kustaafu ulikuwa unapelekeshwa Kama gari bovu, SI ulukuwa Mr YESS SSAH!!!
Shenz kabisa we Mr afande
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niwe mkakamavu kwenye haki yangu kwani mi mtumwa au naendeshwa kama gari bovu
Huna akili, hujui pale ilikuwa ni amri na kutii mamlaka, sasa niko uraiani mkataba umeisha unataka iweje mfano nikae kimya auMbona kabla ya kustaafu ulikuwa unapelekeshwa Kama gari bovu, SI ulukuwa Mr YESS SSAH!!!
Shenz kabisa we Mr afande
Kaaa kimya na uendelee kutii mamlaka mpaka pale watakapoamua kukulipa. Askari kuwa mkakamavu. ShubaaamitHuna akili, hujui pale ilikuwa ni amri na kutii mamlaka, sasa niko uraiani mkataba umeisha unataka iweje mfano nikae kimya au
Wewe inaonekana sio mfanya kazi maana usingeongea kwa kujitoa fahamu, kwani kutumika na mabeberu kuna kuwaje mfano. ndio mlitunga sheria za kuwanyamanzisha watanzania wasiwe wanadai haki zao, pumbavuMpk hapo umekua sio mzalendo,utakua unatumika mabeberu mkuu.
Nitakaa kimya kama ww na wenzio ndio wamiliki halali wa nchi hii kama mnavyojigamba, tumeshakuwa werevu msifikiri kila mtu ni zezeta uchawi wenu ume expireKaaa kimya na uendelee kutii mamlaka mpaka pale watakapoamua kukulipa. Askari kuwa mkakamavu. Shubaaamit
Umestaafu mwaka tu hata nauli huna, sasa zile mbwembwe zooote za kuonea raia me nikajua hata mnalipwa mshahara wa maana kumbe njaa tu.Huna akili, hujui pale ilikuwa ni amri na kutii mamlaka, sasa niko uraiani mkataba umeisha unataka iweje mfano nikae kimya au
Nitakaa kimya kama ww na wenzio ndio wamiliki halali wa nchi hii kama mnavyojigamba, tumeshakuwa werevu msifikiri kila mtu ni zezeta uchawi wenu ume expire
[emoji23][emoji23][emoji23]Nitakaa kimya kama ww na wenzio ndio wamiliki halali wa nchi hii kama mnavyojigamba, tumeshakuwa werevu msifikiri kila mtu ni zezeta uchawi wenu ume expire
Mkuu Magufuli mitano tena.Wewe inaonekana sio mfanya kazi maana usingeongea kwa kujitoa fahamu, kwani kutumika na mabeberu kuna kuwaje mfano. ndio mlitunga sheria za kuwanyamanzisha watanzania wasiwe wanadai haki zao, pumbavu
Sio yule dingi anaefanana na Shetta mkuu'?[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana mzee wangu, nikushauri tu uwaombe waliobaki kazini sasa wasimamie haki. Maana mkishamaliza kutumika mnatemwa kama bublish.
Juzi kuna mkuu wenu mmoja mstaafu ghorofa lake limeuzwa na benki kashindwa kulipa mkopo.
Muumnde kikundi cha kufuatilia serikalini inaweza ikasaidia.Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.
Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.
Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Hapa kazi tu.Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.
Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.
Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Kwanini muwasumbue wakati michango walikatwa bila usumbufu?Muumnde kikundi cha kufuatilia serikalini inaweza ikasaidia.