Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Kuleni mabomu na marungu mliyokuwa mkiwapiga wapinzani wakati wanawatetea.
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
mchagueni Tundu Lissu imeisha hii!
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana mzee wangu, nikushauri tu uwaombe waliobaki kazini sasa wasimamie haki. Maana mkishamaliza kutumika mnatemwa kama bublish.

Juzi kuna mkuu wenu mmoja mstaafu ghorofa lake limeuzwa na benki kashindwa kulipa mkopo.
Yupi huyo mkuu
 
Nyie si ndio mnaongoza kutisha na kupiga watu wakidai haki zao cc unatuambia tukusaidie nn kawaambie waliokua wanakutuma kutesa,kupiga na kuua watu.........

#TUTAELEWANA TU
Sasa hivi wameshajazwa Pemba na Unguja ili wawaumize ndugu zao. Wengine wamevalishwa nguo za kiraia wapige kura mara mbili mblli
 
Back
Top Bottom