Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,332
Hii ndio Tanzania yetu wasiposhikamana wanaweza wakasahauliwa kabisa.Kwanini muwasumbue wakati michango walikatwa bila usumbufu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio Tanzania yetu wasiposhikamana wanaweza wakasahauliwa kabisa.Kwanini muwasumbue wakati michango walikatwa bila usumbufu?
Waache wale msoto huwa ni mabingwa wa kusideline na system iliyopo utadhani na wao ni "priviledged class"Hii ndio Tanzania yetu wasiposhikamana wanaweza wakasahauliwa kabisa.
Kuleni mabomu na marungu mliyokuwa mkiwapiga wapinzani wakati wanawatetea.Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.
Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.
Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Mkuu umestaafu na miaka mingapi? Mbona mwandiko kama wa MTU aliyepp kwenye 20'sNiwe mkakamavu kwenye haki yangu kwani mi mtumwa au naendeshwa kama gari bovu
👍Mliwapiga mabomu waandamanaji wa CUF pale mwembe chai
Wakawamwagia Wazee wa Afrika Mashariki maji ya upupu. Walidhani wao hawatazeeka. Sasa na wao pensheni yao wasubiri, hadi tumuongeze mitano mingineMliwapiga mabomu waandamanaji wa CUF pale mwembe chai
mchagueni Tundu Lissu imeisha hii!Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.
Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.
Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Na bado Mbwa we
Alisikika Mkaridayo mmoja akilikaribia lango la mji ule
Yupi huyo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana mzee wangu, nikushauri tu uwaombe waliobaki kazini sasa wasimamie haki. Maana mkishamaliza kutumika mnatemwa kama bublish.
Juzi kuna mkuu wenu mmoja mstaafu ghorofa lake limeuzwa na benki kashindwa kulipa mkopo.
Sasa hivi wameshajazwa Pemba na Unguja ili wawaumize ndugu zao. Wengine wamevalishwa nguo za kiraia wapige kura mara mbili mblliNyie si ndio mnaongoza kutisha na kupiga watu wakidai haki zao cc unatuambia tukusaidie nn kawaambie waliokua wanakutuma kutesa,kupiga na kuua watu.........
#TUTAELEWANA TU