Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

swala ni pensheni tulipwe, kwan michango yetu iko wapi? basi tupewe nauli ambayo ni haki yetu basi
Pensheni subiri kidogo, kuwa mvumilivu kama soja, 2025 siyo mbali. Bado tunamalizia SGR, flyover, Stigila, na midege 5 kwa cash na sasa hivi tunaajiri walimù elfu 13. Kwani ipi siyo haki? Nauli ya kwenda wapi, tuliza matako nyumbani.
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Mkiwa kazini wanasiasa wapumbavu huwatumia sana kufanikisha malengo yao
Pindi utumishi ukikoma mnaonekana takataka tuuu subirini sasa
Tena mnatumiwa wa mabeberu
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.

Acheni kuunga juhudi kihasara. Jamaa huyo hana uungwana. Taifa zima linalia hali ngumu ya maisha. Haya, waambie wenzako huko kambini. Muwe na JAMBO LENU tarehe 28/10/2020.
 
Mpaka hapa POLICCM brightg umeona kwamba POLICCM hampendwi na hamheshimiki kutokana na tabia zenu mbaya dhidi ya raia wasio na hatia. Endelea kuvumilia maumivu huku ukiendelea kukongoroka.
Waambie wenzio uliowaacha kwamba Kuna Maisha baada ya upoliccm.
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Mlijisahau sana mkatumika vibaya kuonea watu,ni hiyo dhambi inawatafuna,na wenzenu wajifunze kwamba baada ya kutumika mwisho wa siku kumbuka kwamba utamaliza utumishi utarudi mtaani kuwa raia wa kawaida so kama kuna uliowaonea bure utakutana nao huko ukiwa hauna bunduki tena
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Wewe ni askari wa jeshi gani? Kwa muda mrefu sana mumekua mkitumika KUZUIA MABADIRIKO ambayo kimsingi yangewanufaisha na ninyi pia, sasa we kula jeuri yako tu.
 
Kuna lipoliccm lingine huku kitaani limestaafu halina nyumba. Kila linapoomba kupanga jibu huwa "nyokooo, kafie mbele shwetani weye". Sasa lipo kwenye kibanda cha kuhamia ndege mpunga kama fala fulani hohehahe. Bila shaka hata chupi hana. Enzi zake akiwa policcm alikuwa mbabe sana. Alijisahau kuwa kila alichokuwa akivaa isipokuwa chupi tu zilikuwa ni kodi zetu.
 
Kupitia majibu mbalimbali humu ya wana jf, police najua mpo wengi humu naamini funzo mtakuwa mmelipata,huwa mnajisahau sana mnapokuwa kazini bila kujua baada ya kustaafu mnaishi uraiani kama wengine,acheni kutumika na viongozi wakati maisha yenu hohehahe,acheni uonevu,matokeo yake mkishakuwa wastaafu hamna anayewajali mnaishi kwa stress tu
 
Back
Top Bottom