Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Umeona eenhh!!!!,Watu wanajikaza tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Walah hizi comments daaah!!
Ukiacha walimu, maaskari nao hawako mbali kusimangwa nchi hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eenhh!!!!,Watu wanajikaza tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Walah hizi comments daaah!!
Ukiacha walimu, maaskari nao hawako mbali kusimangwa nchi hii.
Eeeh kama bunduki waliachiwa waanze kutukodishia tukafanyie ujambaziKwani vitendea kazi hawajawaaachia Binduki
Muulizeni aliye wapa risasi za kuua raia wasio na hatia kule Pemba 2001. Mlijiona mko juu ya Sheria. Sasa subiri kisukari na presha. Ogopa sana laana ya kuua mzee, mwanamke na mtoto asiye na hatia.huo mtori unanunua na nini
Pensheni subiri kidogo, kuwa mvumilivu kama soja, 2025 siyo mbali. Bado tunamalizia SGR, flyover, Stigila, na midege 5 kwa cash na sasa hivi tunaajiri walimù elfu 13. Kwani ipi siyo haki? Nauli ya kwenda wapi, tuliza matako nyumbani.swala ni pensheni tulipwe, kwan michango yetu iko wapi? basi tupewe nauli ambayo ni haki yetu basi
Mkiwa kazini wanasiasa wapumbavu huwatumia sana kufanikisha malengo yaoMaisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.
Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.
Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Halafu Wana bambikia watu kesi. Acha Askari waione jehanamu hapa hapa duniani.Wengi wenu mmegushi vyeti
Askari mnatakiwa kuwa wakakamavu sio kulia kulia.
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.
Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.
Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Labda Askari wa Malawi. Lkn Hawa POLICCM. hata Kama hajapata mshahara akiona bendera ya CCM korodani zinapwitaAcheni kuunga juhudi kihasara. Jamaa huyo hana uungwana. Taifa zima linalia hali ngumu ya maisha. Haya, waambie wenzako huko kambini. Muwe na JAMBO LENU tarehe 28/10/2020.
Labda Askari wa Malawi. Lkn Hawa POLICCM. hata Kama hajapata mshahara akiona bendera ya CCM korodani zinapwita
Mlijisahau sana mkatumika vibaya kuonea watu,ni hiyo dhambi inawatafuna,na wenzenu wajifunze kwamba baada ya kutumika mwisho wa siku kumbuka kwamba utamaliza utumishi utarudi mtaani kuwa raia wa kawaida so kama kuna uliowaonea bure utakutana nao huko ukiwa hauna bunduki tenaMaisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.
Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.
Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Wewe ni askari wa jeshi gani? Kwa muda mrefu sana mumekua mkitumika KUZUIA MABADIRIKO ambayo kimsingi yangewanufaisha na ninyi pia, sasa we kula jeuri yako tu.Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.
Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.
Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.