Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Hii nimeipenda, yale yaliyoko kambini (kazini) hayawezi kukuelewa MkuuAcheni kuunga juhudi kihasara. Jamaa huyo hana uungwana. Taifa zima linalia hali ngumu ya maisha. Haya, waambie wenzako huko kambini. Muwe na JAMBO LENU tarehe 28/10/2020.
Na mabomu ya machozihuo mtori unanunua na nini
Pccb Kwan ni jeshi nalo?Nimewiwa Kusema Haya
Askari Mleta Mada Hujachelewa Sijui Ulikuwa
JW,POLICE, PCCB,TISS, PRISON, FIRE ,IMMIGRATION
Waliochangia Thread Hii Ndiyo Utakaoishi Nao Kwa Amani Na Watakusaidia Sana Tena Kwa Mengi
Iwe Raha, Iwe Tabu. Kipindi Hiki Upo Camp
Ongea Na Askari Wengine Kuwajuza Wananchi
Wanavyokwazwa Na Mengi!!
Inasikitisha Sana,
Upo sahihi mkuu ila kitu kinachoitwa Amri ndiyo chanzo cha yote hayo. Na si kila askari atashambulia raia kwa mapenzi yake binafsi japo wapo malimbukeni wanaopenda kukaa mahala pa starehe mkikwazana kidogo ukimbilia kukuuliza "UNAJUA MIMI NANI"?.Nimewiwa Kusema Haya
Askari Mleta Mada Hujachelewa Sijui Ulikuwa
JW,POLICE, PCCB,TISS, PRISON, FIRE ,IMMIGRATION
Waliochangia Thread Hii Ndiyo Utakaoishi Nao Kwa Amani Na Watakusaidia Sana Tena Kwa Mengi
Iwe Raha, Iwe Tabu. Kipindi Hiki Upo Camp
Ongea Na Askari Wengine Kuwajuza Wananchi
Wanavyokwazwa Na Mengi!!
Inasikitisha Sana,
majibu ya kipumbavu kabisa haya!Tulia mkuu,kula mtori kwa sana tu nyama utazikuta chini.
Zero fucks given.majibu ya kipumbavu kabisa haya!
Kumbuka hawa ni wazee wetu wamestaafu wakiwa na umri wa miaka 60 acha kebehi mpuuzi wewe!
Hatakuwa aliyestaaafu ni Baba ake na sio yeyeKuna Kitu nilitaka nikuambie lakini sina hakika kama kweli wewe ni mstaafu!
Nyie mnapigaga wananchi wakiandamana ayo ndo malipo yenu mlikua hamjui malipo ni apa apa dunuani✌️Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.
Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.
Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Nyie msipewe ili muandamane mpigwe ndo mjue mnayofanyaga jins gan yanaumiza wengine😠swala ni pensheni tulipwe, kwan michango yetu iko wapi? basi tupewe nauli ambayo ni haki yetu basi
Mkuu pole sana,wanaokudhihaki wanakosea...Huna akili, hujui pale ilikuwa ni amri na kutii mamlaka, sasa niko uraiani mkataba umeisha unataka iweje mfano nikae kimya au
Huyo Wala sio mstaafu, ameleta hii stori kupima hasira za watu. Wadau mnamwaga povu balaa.Mkuu tarehe 4 August 2020 ulifungua thread unalalamika hujalipwa posho...A month later unalia hujalipwa mafao baada ya kustaafu muda mrefu...
kwaio ww ni mstaafu unaelilia posho au ni muajiriwa unataka kulipwa mafao?which is which?[emoji2369][emoji2369]
Posho za maaskari kulikoni, tarehe 30 imeshapita au tumeishiwa
Mpeni mitano tena atawalipa myswala ni pensheni tulipwe, kwan michango yetu iko wapi? basi tupewe nauli ambayo ni haki yetu basi