Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
madalali sio, kama mtu huna haraka ni vyema ukaagiza gari mwenyewe njeSo mln 11 nachukua gari yangu pale gate no 2 karibu na central police,sasa why huku mitaa unakuta crown namba DAA dalali anauza kwa mln 13!
ππMilioni 11 hiyo ni price ya gari pamoja usafarishaji mpaka bandari ya Dar es salaam(c&f) tena hapo ata cost ya bima haijawekwa! bado kodi ya hiyo gari (import duty), registration fee, port charges na ispection fee. Kuipata kwa mil 11 huko ni kujidanganyaπSo mln 11 nachukua gari yangu pale gate no 2 karibu na central police,sasa why huku mitaa unakuta crown namba DAA dalali anauza kwa mln 13!
Hapo sawa kiongoziππMilioni 11 hiyo ni price ya gari pamoja usafarishaji mpaka bandari ya Dar es salaam(c&f) tena hapo ata cost ya bima haijawekwa! bado kodi ya hiyo gari (import duty), registration fee, port charges na ispection fee. Kuipata kwa mil 11 huko ni kujidanganyaπ
Ni kweli mkuumadalali sio, kama mtu huna haraka ni vyema ukaagiza gari mwenyewe nje
Hizi comments zinachekeshaga sana.Hii ndio roket ya chini ,kuanzia bodi ya kibabe sana ,mweno ndio km wa roket za spece x ....Fuga GT 350 halina mpinzan
Ngoja waje wenye ndege zao za kizungu...Ndege ya chiniπ
Gari za kubebea bebezi uikute pearl au black asee[emoji119]
VW Golf GTI funga kaziπ
2GR mziki mwengine ule acha kabisa 314HP wakati VQ35DE anatoa 244HP lazma apigwe vibaya4gr na 3gr hizi zitaachwa na VQ35DE(fuga) lkn 2gr hio inaiacha fuga.
Crown sio Gari ya mpito kama unavyofikiria, Crown imeanza kutengenezwa tangu mwaka 1959 na ni flagship of Toyota kwa Sedan cars, kule Japan inatumika sana kusafirishia viongozi wa serikali na hutumika kama patrol car kwa jeshi la polisi. Driving habits ndio inayoua watu usipofata sheria za barabarani na ushamba mwengine mwengine huko barabarani gari yoyote ile itakusababishia kifo. Sehem kubwa ya barabara za Tanzania sio salama sana kuendesha kwa over 150km/hr.
NB: Gari kama Crown comfortability yake na utulivu wake barabarani ata unapokuwa 180km/hr unajiona kama upo 80km/hr na hapo ndio tatizo linapoanzia
Inatepeta kwa 350G Mark. X au CrownIla GT350 mnaishindanisha na gari kwanza hadi kusema haina mpinzani πππ
Mimi Kama mdau wa Reliability na mpenda HP kubwa na sio mpnz wa zile Gari zenye dashboard zilizojaa taa za mti wa x-mas,aisee I'll go for it.2GR mziki mwengine ule acha kabisa 314HP
Hua wanaloa mbya kabisa,ukiingiza mkono tu unapokelewa kwa shangwe huku ukiitwa my hub., hahaha.Mtama kwa "WATOTO".
Mkuu kwani si wasome speed meter? si inaonesha hapa unatembea kwa spsad gani? Mimi naona ni kama ulivyosema driving habits ndizo zinamaliza vijanaCrown sio Gari ya mpito kama unavyofikiria, Crown imeanza kutengenezwa tangu mwaka 1959 na ni flagship of Toyota kwa Sedan cars, kule Japan inatumika sana kusafirishia viongozi wa serikali na hutumika kama patrol car kwa jeshi la polisi. Driving habits ndio inayoua watu usipofata sheria za barabarani na ushamba mwengine mwengine huko barabarani gari yoyote ile itakusababishia kifo. Sehem kubwa ya barabara za Tanzania sio salama sana kuendesha kwa over 150km/hr.
NB: Gari kama Crown comfortability yake na utulivu wake barabarani ata unapokuwa 180km/hr unajiona kama upo 80km/hr na hapo ndio tatizo linapoanzia