Jamani Crown Athlete ni kali

Jamani Crown Athlete ni kali

So mln 11 nachukua gari yangu pale gate no 2 karibu na central police,sasa why huku mitaa unakuta crown namba DAA dalali anauza kwa mln 13!
😀😀Milioni 11 hiyo ni price ya gari pamoja usafarishaji mpaka bandari ya Dar es salaam(c&f) tena hapo ata cost ya bima haijawekwa! bado kodi ya hiyo gari (import duty), registration fee, port charges na ispection fee. Kuipata kwa mil 11 huko ni kujidanganya😀
 
Fanyeni vurugu zote ila mkikutana na huyu mnyama lazima mtoe heshima, nimeweka wa zamani kidogo ili aendane na new model zetu😁
IMG_20211022_201324.jpg
IMG_20211022_201307.jpg
 
Crown sio Gari ya mpito kama unavyofikiria, Crown imeanza kutengenezwa tangu mwaka 1959 na ni flagship of Toyota kwa Sedan cars, kule Japan inatumika sana kusafirishia viongozi wa serikali na hutumika kama patrol car kwa jeshi la polisi. Driving habits ndio inayoua watu usipofata sheria za barabarani na ushamba mwengine mwengine huko barabarani gari yoyote ile itakusababishia kifo. Sehem kubwa ya barabara za Tanzania sio salama sana kuendesha kwa over 150km/hr.
NB: Gari kama Crown comfortability yake na utulivu wake barabarani ata unapokuwa 180km/hr unajiona kama upo 80km/hr na hapo ndio tatizo linapoanzia

Yes gari yoyote inakusababishia kifo.

Ila unadhani gari yenye safety rating ya 5tar iko sawa na gari yenye safety rating ya 1star?
 
Crown sio Gari ya mpito kama unavyofikiria, Crown imeanza kutengenezwa tangu mwaka 1959 na ni flagship of Toyota kwa Sedan cars, kule Japan inatumika sana kusafirishia viongozi wa serikali na hutumika kama patrol car kwa jeshi la polisi. Driving habits ndio inayoua watu usipofata sheria za barabarani na ushamba mwengine mwengine huko barabarani gari yoyote ile itakusababishia kifo. Sehem kubwa ya barabara za Tanzania sio salama sana kuendesha kwa over 150km/hr.
NB: Gari kama Crown comfortability yake na utulivu wake barabarani ata unapokuwa 180km/hr unajiona kama upo 80km/hr na hapo ndio tatizo linapoanzia
Mkuu kwani si wasome speed meter? si inaonesha hapa unatembea kwa spsad gani? Mimi naona ni kama ulivyosema driving habits ndizo zinamaliza vijana
 
Back
Top Bottom