thetowerofbabel
JF-Expert Member
- Jul 17, 2010
- 266
- 360
Hio sio max speed ni max speedo reading ...hio gar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio sio max speed ni max speedo reading ...hio gar
GOLF GTI $200,940?? Au una maanisha $20,940??A Precision craftmanship 228hp doubleturbo charged engine, wenyewe wanaiita 2021 GOLF "HOT" GTI kwa bei ya $200,940 mzee baba. Sasa i convert hayo madola kwa pesa zetu za madafu kwa rate ya leo
Hivi unaelewa maana ya aftermarket parts? HKS wao wamespecialize ku tune gari JDM (Japanese Domestic Market) sheria ya JAMA hairuhusu gari ya JDM kuzidi 180KM/H kwaio hakuna gari inayotoka kiwandani kwa ajili ya JDM ikazidi Speed 180KM/H kwaio hapo ndo wanapoingia HKS speedometer inazidi na kufika huko kwenye hio 260km/h za huko ujerumani..hiki kifaa sio changu mimi mzee ni cha HKS..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] inaonekana umemaindi kufahamishwa kwamba JDM zinatoboa zaidi ya 180KM/H...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] HKS Speed Limit Defencer haiwezi fungwa kwenye gari za kizungu(Audi, Golf GTI,BMW) ni za JDM tu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Gari ya cc 2000 natural aspirated haiwezi fika 260kph
Hio ni speed labda unaeza achieve na 1jz gte inayotoa 280hp
Jibu la swali lako lipo kwenye hii screenshot mwanzoni sikusoma vizuri kuhusu JAMA kwamba ni Voluntary request kwaio kama ni voluntary unaweza kuchagua kufanya ama kutokufanya..katika maelezo yangu nilielezea kama vile ni mandatory speed kua 180KM/H ila ni vizuri maana ume admit mwenyewe kwamba yapo magari yenye zaidi ya 180KM/H tena JDM mimi nilijikita kwa wale tunaotaka kukata utepe wa 180KM/H...🤣🤣🤣🤣🤣 tukizichapa hizo European Cars...🤣🤣🤣🤣Nimekuelewa
Ila Samahani mkuu,
Hivi hizi Landcruiser ambazo huwa zina speedmeter 240 km au hizi nissan au suzuki used ambazo huwa tunanunua used kutoka Japan ambazo zina speed zaidi ya 180 km/ hr mbona zinakuwa zimetumika Japan?
Licha ya Zuio hilo?
Mfano hii ni SUZUKI SX 4 na ina speedmeter ya 200 km/ hr
Used 2009 SUZUKI SX4/DBA-YA11S for Sale BM229470 - BE FORWARD
www.beforward.jp
Na iko Japan je hii gari hairuhudiwi kutumika Japsn?, mbona ni used?
Mkuu,
Naomba angalia hapa
Naona anazidi tu kuleta video ndo mana nimeamua kutomjibu maana haelewi...Mtaalamu gari ukiambiwa ni naturally aspirated maana yake haina Turbo( use of forced induction) hio Golf GTI ulioweka ina forced induction(Turbo) ndo maana imeweza kufika hio speed kubwa...
Jibu la swali lako lipo kwenye hii screenshot mwanzoni sikusoma vizuri kuhusu JAMA kwamba ni Voluntary request kwaio kama ni voluntary unaweza kuchagua kufanya ama kutokufanya..katika maelezo yangu nilielezea kama vile ni mandatory speed kua 180KM/H ila ni vizuri maana ume admit mwenyewe kwamba yapo magari yenye zaidi ya 180KM/H tena JDM mimi nilijikita kwa wale tunaotaka kukata utepe wa 180KM/H...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tukizichapa hizo European Cars...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
NISSAN SKYLINE 350GT akiliwa nyama na CROWN ATHLETE 350G
Duh nilikosea mkuu, ilikuwa $20,940 now imepanda mpaka $23,995GOLF GTI $200,940?? Au una maanisha $20,940??
2GR pia ipo kwenye mark x ndo maana Crown na mark x nyingi zinatumia V6 engine na nyingine 2GR So kwenye perfomance CROWN na MARK X are the same!!2GR ipo kwenye Crown Majesta ule ni mziki mwengine
Kaukdanganya nani kwambaafuta linanusa unacheza wewe labda huijui NISSAN FUGA!!Nissan hapa walicheza sana ......mwendo kama wote mafuta km linanusa tu
Haya mawazo yako ya kilevi unayatoa wapi wewe yaani ufike speed 180 kwa sekunde kumi wewe unaota alafu kuna kitu huelewi jatibu kujofunza taratibu utaelewaWakuu naomba kuuliza swali,
Hivi hizo Crown, Fuga, Mark X n.k hivi ukifika Speed 180km/hr mshale ukasoma hapo baada ya hapo unaenda wapi? Au kinachofuata ni nini? Regardless umetumia sekunde 10 kufika speed ya 180.
Utajisikiaje unafika speed 180 umemaliza halafu kanatokea ka BMW 3Series ka mwaka 2006 kana kupita kakiwa speed 220? na bado speed inadai mpaka 260km/hr? Mbaya zaidi kana CC 2,000 [emoji16]
Mimi nikifikiria hilo bado mjerumani nampa heshima yake.
Apa tunaongelea natural aspirated car mzee ama huelewi maana ya natural aspirated mzeeUko sahihi kabisa. Fuga 350 na 280HP zake linatoka 0 mpaka 180kmph ndani ya sekunde 30. Likifika hapo ECU inazuia mafuta yasiingie kwenye cylinder so hata ukaze tako vipi inakuwa ni kama hujakanyaga mafuta - hiyo ndio electronic limiter.
Hiyo gari huwa inagusa 180kmph at 5000rpm ukiwa 4th gear na inamaintain 180kmph at 4000rpm at 5th gear.
Kama barabara inaruhusu, ki VW cha cc1800 kitakuja kikufikie na kikupite huku wewe uko stuck at 180 na huna la kufanya.
Yana mwendo sawa, engine zake zina nguvu sana, zina acceleration ya ajabu, ila hazifui dafu mbele ya mzungu mwenye turbocharged 3000cc au zaidi.
View attachment 2183503
Niko namshangaa huyu jamaa kwa huu upupu anaoutoa apa ases yaani anaongea vitu vya kijinga mno!!Gari ya cc 2000 natural aspirated haiwezi fika 260kph
Hio ni speed labda unaeza achieve na 1jz gte inayotoa 280hp