Jamani Crown Athlete ni kali

Jamani Crown Athlete ni kali

Jamani naomba msaada wenu kuhusu namna ya kubana matumizi ya mafuta niendeshapo gari dogo labda kama kuna namna flani a kukanyaga ile pedal ya mafuta. Safari zangu sio ndefu ni za kuzungumguka tu mjini. Je, ninapoendesha kwa kasi kisha nikaacha kukanyaga pedo ya mafuta gari ikawa inaserereka yenyewe, inaweza kusaidia?
Mara nyingi jaribu kuweka ama kuendesha gari yako kwa kutumia snow mode ukiweka gari yako kwenye snow mode gari haitumii mafuta mengi kifupi utasave mafuta mengi mpaka mwenyewe utashangaa ila hii ni kama gari yako itakuwa na iyo option ya snow mode!!
 
Apa tunaongelea natural aspirated car mzee ama huelewi maana ya natural aspirated mzee
Wapi nilipoongelea natural aspirated? Mimi nilireply mtu aliyeuliza ukifika 180 what happens next. Hayo ya naturally aspirated vs forced induction yamekuja baadae, post yangu haina uhusiano nayo
 
Jamani naomba msaada wenu kuhusu namna ya kubana matumizi ya mafuta niendeshapo gari dogo labda kama kuna namna flani a kukanyaga ile pedal ya mafuta. Safari zangu sio ndefu ni za kuzungumguka tu mjini. Je, ninapoendesha kwa kasi kisha nikaacha kukanyaga pedo ya mafuta gari ikawa inaserereka yenyewe, inaweza kusaidia?
Kama unaendesha Automatic car hakikisha kila unapokanyaga mafuta ule Mshale kwenye RPM usivuke 4 au 5.

Kanyaga mafuta taratibu speed itaongezeka taratibu taratibu. Usiwe unakanyaga mafuta Kwa fujo Hadi mwisho unafika mbele unakutana na tuta unapiga breki. Ukiwa unaendesha Kwa Aina hiyo utalaumu gari lako.
 
Mara nyingi jaribu kuweka ama kuendesha gari yako kwa kutumia snow mode ukiweka gari yako kwenye snow mode gari haitumii mafuta mengi kifupi utasave mafuta mengi mpaka mwenyewe utashangaa ila hii ni kama gari yako itakuwa na iyo option ya snow mode!!
Mimi imenisaidia sana na mara nyingi kutokana na foleni za apa bongo basi najikutaga nasave sana mafuta kwa kweli!!
 
Kama unaendesha Automatic car hakikisha kila unapokanyaga mafuta ule Mshale kwenye RPM usivuke 4 au 5.

Kanyaga mafuta taratibu speed itaongezeka taratibu taratibu. Usiwe unakanyaga mafuta Kwa fujo Hadi mwisho unafika mbele unakutana na tuta unapiga breki. Ukiwa unaendesha Kwa Aina hiyo utalaumu gari lako.
Pia awe anaendeshea gari kwenye snow mode kama yuko apa dara ama ana safari fupi fupi zinazokutana na foleni folen
 
Wapi nilipoongelea natural aspirated? Mimi nilireply mtu aliyeuliza ukifika 180 what happens next. Hayo ya naturally aspirated vs forced induction yamekuja baadae, post yangu haina uhusiano nayo
Ndio maana ya hiki nilichokisema gari ikiwa natural aspirated haiwezi kutoa iyo hp kubwa kiasi ambacho wengi wanasema so ni mimi nlikujibu kwa kujua may be hukuwa umeelewa hilii
 
Haya mawazo yako ya kilevi unayatoa wapi wewe yaani ufike speed 180 kwa sekunde kumi wewe unaota alafu kuna kitu huelewi jatibu kujofunza taratibu utaelewa
BMW 3 Series M340i .. inaipata 185 kwa second 12.
 
Mimi imenisaidia sana na mara nyingi kutokana na foleni za apa bongo basi najikutaga nasave sana mafuta kwa kweli!!
Snow mode inapunguza throttle response na kubadilisha shift points za auto transmission ipadilishe gia mapema - kwahiyo matokeo yake inakuwa kama umekanyaga mafuta kidogo so power inatumika kidogo na gari inawahi kubadili gia so RPM muda mwingi zinakuwa chini, thereby mafuta yanatumika kidogo zaidi kuliko ukitegemea kubalance mguu wako wa kulia kwenye mafuta.

Snow mode kwenye foleni bampa to bampa ambapo umesimama tu effect yake ni ndogo, na ukiweka snow mode ukakanyaga kwa nguvu kuaccelerate pia inakuwa haina msaada sana.
 
Snow mode inapunguza throttle response na kubadilisha shift points za auto transmission ipadilishe gia mapema - kwahiyo matokeo yake inakuwa kama umekanyaga mafuta kidogo so power inatumika kidogo na gari inawahi kubadili gia so RPM muda mwingi zinakuwa chini, thereby mafuta yanatumika kidogo zaidi kuliko ukitegemea kubalance mguu wako wa kulia kwenye mafuta.

Snow mode kwenye foleni bampa to bampa ambapo umesimama tu effect yake ni ndogo, na ukiweka snow mode ukakanyaga kwa nguvu kuaccelerate pia inakuwa haina msaada sana.
Maelezo mujarabu kabisa kabisa, mimi hii inanisaidia mno mara nyingi naitumia so najikuta nasave sana mafuta kwa upande imefanya kazi kwa uhakika kabisa yaani kwa route zote za dar ndani ya dar waga naendesha gari nkiwa snow mode ila kama unaenda safari ndefu na unahitaji mwendo mkali hii option utaichukia sababu aceleratio ya gari ni inachanganya taratibu sana na mpaka ije kufika speed kubwa inachukua muda mkuu so mara nyingi hii kwa safari fupi fupi ambazo huitaji mambio mbio ndo itakusaidia sana kusave mafuta kwa kiasi kikubwa
 
Maelezo mujarabu kabisa kabisa, mimi hii inanisaidia mno mara nyingi naitumia so najikuta nasave sana mafuta kwa upande imefanya kazi kwa uhakika kabisa yaani kwa route zote za dar ndani ya dar waga naendesha gari nkiwa snow mode ila kama unaenda safari ndefu na unahitaji mwendo mkali hii option utaichukia sababu aceleratio ya gari ni inachanganya taratibu sana na mpaka ije kufika speed kubwa inachukua muda mkuu so mara nyingi hii kwa safari fupi fupi ambazo huitaji mambio mbio ndo itakusaidia sana kusave mafuta kwa kiasi kikubwa
Bila shaka
 
Kuna kitu kinakitwa HKS Speed Limit Defencer III ukiweka kwenye gari za Japan huo mshale unazidi hapo kwenye 180km/h kwaio spidi inafika hata 260 chamsingi uwe na matairi tu ya kuhumili hios speed..
Nimeona haiko compatible na Fuga yenye 5AT
Screenshot_20220717-133931_Chrome.jpg
 
Nimeona haiko compatible na Fuga yenye 5ATView attachment 2294115
Cheki website inaitwa blackhawkjapan.com nenda section ya electronics halafu spees limit removers angalia model yako..mimi nina mpango wa kuifunga kwenye Crown Athlete GRS200 lakini hii ya HKS haipo kwaio nimeona ya Lexus IS250 ambayo inatumia engine moja na Crown nitafunga hio..ucheki huo mtandao maana magari ya nissan sizifahamu hata codes zake...
 
Cheki website inaitwa blackhawkjapan.com nenda section ya electronics halafu spees limit removers angalia model yako..mimi nina mpango wa kuifunga kwenye Crown Athlete GRS200 lakini hii ya HKS haipo kwaio nimeona ya Lexus IS250 ambayo inatumia engine moja na Crown nitafunga hio..ucheki huo mtandao maana magari ya nissan sizifahamu hata codes zake...

Unahitaji kweli kwenye barabara za TZ?
 
Cheki website inaitwa blackhawkjapan.com nenda section ya electronics halafu spees limit removers angalia model yako..mimi nina mpango wa kuifunga kwenye Crown Athlete GRS200 lakini hii ya HKS haipo kwaio nimeona ya Lexus IS250 ambayo inatumia engine moja na Crown nitafunga hio..ucheki huo mtandao maana magari ya nissan sizifahamu hata codes zake...
Itakuua hio gari. Gari zenyewe ikifika over 120kph tu hazikai mkononi mnataka kutoa limiter ya 180kph!
 
Back
Top Bottom