Jamani Crown Athlete ni kali

Jamani Crown Athlete ni kali

Itakuua hio gari. Gari zenyewe ikifika over 120kph tu hazikai mkononi mnataka kutoa limiter ya 180kph!
Hizi crown grs200 nzuri luxury kuchezea nazo Kwa speend above 180kmh na mashaka nazo.. Kuna test imefanyia hapo mlimani city grs200 na Lexus gs450.. grs200 kufuka 160 unaona ushakuwa nyepesi kinoma, ila Lexus ilikuwa imeshika chino vizuri. Huyu mkuu labda atakuwa naweka na mahindi kwenye boti iwe nzito kidogo
 
Uko sahihi kabisa. Fuga 350 na 280HP zake linatoka 0 mpaka 180kmph ndani ya sekunde 30. Likifika hapo ECU inazuia mafuta yasiingie kwenye cylinder so hata ukaze tako vipi inakuwa ni kama hujakanyaga mafuta - hiyo ndio electronic limiter.

Hiyo gari huwa inagusa 180kmph at 5000rpm ukiwa 4th gear na inamaintain 180kmph at 4000rpm at 5th gear.

Kama barabara inaruhusu, ki VW cha cc1800 kitakuja kikufikie na kikupite huku wewe uko stuck at 180 na huna la kufanya.

Yana mwendo sawa, engine zake zina nguvu sana, zina acceleration ya ajabu, ila hazifui dafu mbele ya mzungu mwenye turbocharged 3000cc au zaidi.

View attachment 2183503
Ndani ya sekunde kadhaa kimemaliza kisahani
 
VW Golf GTI funga kazi😊
Mchezo hatari na usiingie ligi barabarani kwa ushabiki.
Kumbuka, gari ZOTE za kijapani max speed ni 180k/hr.
Gari nyingi za Europe max speed 240-260km/hr.
Sasa ukiingia ligi unaatarisha maisha yako.

Pili ukiendesha, for total concentration usiendeshe na mashabiki wakikushangilia, you will make a wrong judgement.
Kwa mfano kwenye kona kali ukiingia kwa 140km/hr breki hazikusaidii,utatoka nje ya barabara tu.
Drive safely.
 
2GR ipo kwenye Crown Majesta ule ni mziki mwengine

😀 😀 😀 Crown Majesta cc 4300 sawa na Toyota Celsior. Zinatumia injini ua aina moja. Kibongo bongo hizo cc noma sana. Sawa na Cruiser mkonga
 
😀 😀 😀 Crown Majesta cc 4300 sawa na Toyota Celsior. Zinatumia injini ua aina moja. Kibongo bongo hizo cc noma sana. Sawa na Cruiser mkonga
Majesta inatumia 3UZ engine....cc 4300 kuna v8 za petrol zinatumia engine hizo huo ni umeme
 
IMG_1294.jpg
 
Wakuu naomba kuuliza swali,

Hivi hizo Crown, Fuga, Mark X n.k hivi ukifika Speed 180km/hr mshale ukasoma hapo baada ya hapo unaenda wapi? Au kinachofuata ni nini? Regardless umetumia sekunde 10 kufika speed ya 180.

Utajisikiaje unafika speed 180 umemaliza halafu kanatokea ka BMW 3Series ka mwaka 2006 kana kupita kakiwa speed 220? na bado speed inadai mpaka 260km/hr? Mbaya zaidi kana CC 2,000 [emoji16]

Mimi nikifikiria hilo bado mjerumani nampa heshima yake.
Kwani unanunua gari yako kwa ajili ya racing barabarani au ikusaidie kweny matumizi ya usafiri..ndio maana zinawachinja...kama unataka racing wafate kina Hamilton huko
 
Mara nyingi jaribu kuweka ama kuendesha gari yako kwa kutumia snow mode ukiweka gari yako kwenye snow mode gari haitumii mafuta mengi kifupi utasave mafuta mengi mpaka mwenyewe utashangaa ila hii ni kama gari yako itakuwa na iyo option ya snow mode!!
hiyo snow mode huwa inapatikania wapi. inawezekana ipo ila sijaing'amua!
 
😀 😀 inabidi ununue gari ambalo una uwezo nalo. Nina Mark X ambayo inatumia injini sawa na Crown, sijawahi kujuta.
Siyo una gari inayotumia engine sawa na Crown apana

Sema ivi nina mark x yenye engine ya 4Gr

Kumbuka Crown na mark x zinatumia spare sawa yaani kuanzia engine mpaka gia box zote zinatumia sawa

Tofauti ya Mark x na Crown inakuja kwenye muundo wa body tu
 
Back
Top Bottom