Jamani eeh, ninaombeni msaada wa haraka

Angekua na nia njema au kanunua mwenyewe asingekuongopea mara oooh haina chaji na blah blah nyngne
 
Pole sana.. na wewe mnunulie Tecno Phantom Z... mkomeshe kabisa...
 
Kama kahongwa c8 ni vema ukamuhonga c10 utakuwa umefunga kazi na mshkaji ataonekana bonge la boya
 
Angekua na nia njema au kanunua mwenyewe asingekuongopea mara oooh haina chaji na blah blah nyngne
sasa hv nafwata mrengo kama huu..
kura yako imefanikiwa
 
..moja usifanye maamuzi ukiwa Na hasira..pili usimuache ikiwa unahisi moyo wako bado unamuhitaji Na tatu kaeni chini Na huyo mpnz umwambie nini kinakusumbua Na ukishamckia bac fanya maamuzi.
 
..moja usifanye maamuzi ukiwa Na hasira..pili usimuache ikiwa unahisi moyo wako bado unamuhitaji Na tatu kaeni chini Na huyo mpnz umwambie nini kinakusumbua Na ukishamckia bac fanya maamuzi.
ushauri ni mzuri ila mm naomba upige kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…