Jamani eeh, ninaombeni msaada wa haraka

Jamani eeh, ninaombeni msaada wa haraka

Oh hapana
Mtoa mada ana akili sana.
Ukishaona wanawasiliana usiweke malengo kwa mwanamke wa haina hiyo
 
Yeah. Mm pia imenitokea
Dem wangu alikua na mtu wakaachana, lakn najua bado anampenda. Hivyo sina malengo nae
Japo amenibishia sana
 
Yeah. Mm pia imenitokea
Dem wangu alikua na mtu wakaachana, lakn najua bado anampenda. Hivyo sina malengo nae
Japo amenibishia sana
sasa hapo unatakiwa ugonge sana alafu end of the day unamleft-isha.
 
Ila naona kura yake imeharibika maana kaongeza maneno mengine zaidi ya maelekezo
sasa hivi nafwata mrengo wa jinsi post ilivyokuwa inamaanisha coz nahitahi hitimisho kabla siku mpya haijaanza
 
BHAAAAAAAASSSSSSS

muda wa kupiga kura umeshaisha maana nilisema mwisho itakuwa ni saa 00:00

hivyo kura ya KUACHA imekuwa ni nyingi kuliko USIMUACHE.



hivyo nmeamua KUMUACHA hvyo kwa sasa niko SINGLE hivyo mnakaribishwa wadada kuomba ajira kabla nafasi hazijajaa. maana mimi huwa sikawi kupata demu mpya coz najua kuchungulia fursa
 
BHAAAAAAAASSSSSSS

muda wa kupiga kura umeshaisha maana nilisema mwisho itakuwa ni saa 00:00

hivyo kura ya KUACHA imekuwa ni nyingi kuliko USIMUACHE.



hivyo nmeamua KUMUACHA hvyo kwa sasa niko SINGLE hivyo mnakaribishwa wadada kuomba ajira kabla nafasi hazijajaa. maana mimi huwa sikawi kupata demu mpya coz najua kuchungulia fursa
Jecha ameshafanya yake... uchaguz utarudiwa
 
Brazaa tafuta nnyonge wako
 
Kwani wew ni mwanaume wa dar au mkoani? ?
 
Back
Top Bottom