Jamani eti "science" hii ya imani ya kimila inafanya kazi? na kama ni inafanya kazi ni vipi?

Jamani eti "science" hii ya imani ya kimila inafanya kazi? na kama ni inafanya kazi ni vipi?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Huu ni msimu wa maua ya miembe. Imetoa maua sana huku kwetu. Uzoefu unaonyesha kuwa maua mengi huwa yanadondoka/kupukutika na hivyo kutoshika kutoa matunda ya maembe au yakishika, viembe vidogo huwa vinapukutika chini.

Sasa SCIENCE ni hii: Nimekuta mtu yuko very busy shambani kwake anagongelea misumari kwenye shina la miti hiyo ya miembe. Nikamuuliza ina maana gani, akasema hii inazuia mau kupukutika na viembe vidogo kuanguka/kupukutika.

Mwenye uzoefu anieleze

(definitely nitarudi kuona matokeo)
 
happy-businessman-holding-funny-huge-oversized-cup-of-black-cof-picture-id519282873-7.jpg
 
Huu ni msimu wa maua ya miembe. Imetoa maua sana huku kwetu. Uzoefu unaonyesha kuwa maua mengi huwa yanadondoka/kupukutika na hivyo kutoshika kutoa matunda ya maembe au yakishika, viembe vidogo huwa vinapukutika chini.

Sasa SCIENCE ni hii: Nimekuta mtu yuko very bussy shambani kwake anagongelea misumari kwenye shina la miti hiyo ya miembe. Nikamuuliza ina maana gani, akasema hii inazuia mau kupukutika na viembe vidogo kuanguka/kupukutika.

Mwenye uzoefu anieleze

(definitely nitarudi kuona matokeo)
Yeaaah imani yaweza kuhamisha milima ....the way u believe.....is where it will be

Sisi kwetu kwenye miparachichi inayopukutisha .....huwa tunafunga kamba......ili kuzuia
 
Yeaaah imani yaweza kuhamisha milima ....the way u believe.....is where it will be

Sisi kwetu kwenye miparachichi inayopukutisha .....huwa tunafunga kamba......ili kuzuia

True walahi
 
Huu ni msimu wa maua ya miembe. Imetoa maua sana huku kwetu. Uzoefu unaonyesha kuwa maua mengi huwa yanadondoka/kupukutika na hivyo kutoshika kutoa matunda ya maembe au yakishika, viembe vidogo huwa vinapukutika chini.

Sasa SCIENCE ni hii: Nimekuta mtu yuko very busy shambani kwake anagongelea misumari kwenye shina la miti hiyo ya miembe. Nikamuuliza ina maana gani, akasema hii inazuia mau kupukutika na viembe vidogo kuanguka/kupukutika.

Mwenye uzoefu anieleze

(definitely nitarudi kuona matokeo)
Ni imani tu watu waliyojijengea kama vile kufunga magunzi kwenye mpapai usiwe dume.
 
Huu ni msimu wa maua ya miembe. Imetoa maua sana huku kwetu. Uzoefu unaonyesha kuwa maua mengi huwa yanadondoka/kupukutika na hivyo kutoshika kutoa matunda ya maembe au yakishika, viembe vidogo huwa vinapukutika chini.

Sasa SCIENCE ni hii: Nimekuta mtu yuko very busy shambani kwake anagongelea misumari kwenye shina la miti hiyo ya miembe. Nikamuuliza ina maana gani, akasema hii inazuia mau kupukutika na viembe vidogo kuanguka/kupukutika.

Mwenye uzoefu anieleze

(definitely nitarudi kuona matokeo)
Inafanya kazi, Ilianza kama imani lakini science ikaja ku-prove baada ya muda. Hii inazidi kuthibitisha kuwa science ipo nyuma kwenye mambo mengi.

Makala halisi iliyokuwa inazungumzia hilo nimeisahau, ila kwa lugha nyepesi concept yake ni kuwa unapofanya hivyo unakuwa unatishia uhai wa mti husika na ukiutishia uhaiwake maanayake unatishia uwezo wake wa kuweza kuendeleza jamii yake, kwahiyo kitakachofanyika ni huo mti kuhakikisha huo uzao uliotoka unang'ang'aniwa kwa hali na mali ili hayo matunda yaweze kufika mpaka hatua ya kukomaa na kuweza kuendeleza uzao endapo kama mti utakufa. Kwahiyo ni unaudanganya mti kwa kuutishia ili utimize kile unacho kitarajia.
 
natishia uwezo wake wa kuweza kuendeleza jamii yake
PERPETUATION OF THE SPECIES, LOOKS A SOUND SCIENTIFIC REASONING/EXPLANATION. Common observation during draught plants flower while they are still young so as to make sure they" give birth" to offsprings so as to preserve the species in such a harsh condition...angalia mahindi wakati wa ukame, yanatoa mbelewele vikiwa vichanga vikitamani kutengeneza mbegu ingawa vingine huwa havifiki huko.
 
Back
Top Bottom