Aisha Adam
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 460
- 104
Pole sana mpendwa kwa hayo yaliyokukuta,
Mzazi siku zote ni mzazi na ananafasi yake so hata akikutendea ubaya haifai kumpotezea la msingi mpe heshima yake kama inanvyositahili na msaidie pindi atakapotaka msaada kama una uwezo wa kumsaidia, hata kama hakupendi ipo siku atakuja kuona umuhimu wako
Mzazi siku zote ni mzazi na ananafasi yake so hata akikutendea ubaya haifai kumpotezea la msingi mpe heshima yake kama inanvyositahili na msaidie pindi atakapotaka msaada kama una uwezo wa kumsaidia, hata kama hakupendi ipo siku atakuja kuona umuhimu wako