Jamani hivi huyu baba ana upendo namimi?

Jamani hivi huyu baba ana upendo namimi?

Pole sana mpendwa kwa hayo yaliyokukuta,
Mzazi siku zote ni mzazi na ananafasi yake so hata akikutendea ubaya haifai kumpotezea la msingi mpe heshima yake kama inanvyositahili na msaidie pindi atakapotaka msaada kama una uwezo wa kumsaidia, hata kama hakupendi ipo siku atakuja kuona umuhimu wako
 
Mimi sijaelewa kidogo. Wewe nadhani ni mtu mzima kwa maana umeshapita umri wa utegemezi. Kwa nini unataka baba yako akupe ela? Kwa sababu na wewe ulimpa au kwa kuwa una shida kweli kweli? Mh. mimi hata sijawahi kuwaza kupata mtaji toka kwa baba japo have different story kwani mimi sikutelekezwa.
<br />
<br />
Kama hukutelekezwa na baba yako göod for you, kwakifupi hujaielewa mada yangu
 
Pole sana mpendwa kwa hayo yaliyokukuta,<br />
Mzazi siku zote ni mzazi na ananafasi yake so hata akikutendea ubaya haifai kumpotezea la msingi mpe heshima yake kama inanvyositahili na msaidie pindi atakapotaka msaada kama una uwezo wa kumsaidia, hata kama hakupendi ipo siku atakuja kuona umuhimu wako
<br />
<br /> Nashukuru kwa mchango
 
Loly,<br />
<br />
Huyo siyo baba mwenye upendo wa kweli kwako bali na baba tu kwako wakati ule anapokuhitaji. <br />
<br />
Kama alivyosema Domo Zege, jipange umpe test ya mwisho ili akishidwa uachane naye na watoto wake. Na sidhani kama unatakiwa kuhangaika naye kwa vile hakuwahi kukuona kama mtu wa maana. Anajali mali zako na siyo wewe kama mtoto wake..<br />
<br />
Achana naye...Bora uwe na marafiki wa nje kuliko ndugu asiye na manufaa kwako!!
<br />
<br />
Thanks dark city
 
Pole sana Loly.....I completely understand your feelings....will be back
 
Ubaya haulipwi kwa ubaya na mzazi ni mzazi tu...hivyo sitakubaliana na dhana ya kumpotezea au kuishi mbali nao : that isn't a solution.<br />
Kama una shida mwombe pesa uhakiki je atakunyima? kama akitosa usiuzunike yasahau then tafuta kwa jasho lako kwani pia ni bora kujua akunyimae samaki anakupa uwezo wa kujifunza kuvua. ridhika na kidogo unachopata ndo chako, kisha truggle for better future of urs..lastly mpende baba zaidi ya awali.
<br />
<br />
sijasema nataka kumfanyia ubaya ila nimeuliza mzazi wa aina hii ni kweli ana upendo kwangu? au thamani yangu inakuwepo wakati anashida zake tuu?
 
Sijui wewe ni wa jinsia ya "ke" au "me". Lakini jambo hili linataka mazungumzo baina yako na baba yako. wenzetu wanaita "father to son/daughter talk". Mweleze unavyofikiria na yeye atakueleza anavyofikiri kisha mtafikia muafaka au mtakubali kutofautiana. Hii itakusaidia kutoa vitu vilivyojaa kifuani na utagundua kuwa mambo mengine yalikuwa ni hisia zako tu wala hayana ukweli ndani yake. Ukifanya kosa la kumpotezea kama wengine wanavyokushauri haya mambo yaliyojaa kifuani mwako hayataisha au kupotea yenyewe yataendelea kukutafuna tu na kamwe hautakuwa huru. Kunatakiwa kuwepo na ukweli na maridhiano "Truth and reconciliation" baina yako wewe na baba yako ili muweze kuanza upya.
 
hapo jibu unalo, wewe ni mtu mzima unayejitegemea, hebu hilo libaba tupa kule concentrate na maisha yako... mlee mama yako, baba yako unachoweza kufanya ni kumheshimu tu... na hulazimishwi kushikamana naye.. in this life unamthamini anayekuthamini asiyekuthamini tupa kule.... afterall heri kumjali mtu baki mbaye anakuthamini na kukusaidia=kukupenda kuliko ndg/mzazi asiyekupenda na kukuthamini. maisha ni yako na si ya mzazi wako, naamini mama yako amekulea kuwa strong nk, move on, ila siku mdingi akikuuliza kwa nini umechange mueleze ukweli
 
Sijui wewe ni wa jinsia ya &quot;ke&quot; au &quot;me&quot;. Lakini jambo hili linataka mazungumzo baina yako na baba yako. wenzetu wanaita &quot;father to son/daughter talk&quot;. Mweleze unavyofikiria na yeye atakueleza anavyofikiri kisha mtafikia muafaka au mtakubali kutofautiana. Hii itakusaidia kutoa vitu vilivyojaa kifuani na utagundua kuwa mambo mengine yalikuwa ni hisia zako tu wala hayana ukweli ndani yake. Ukifanya kosa la kumpotezea kama wengine wanavyokushauri haya mambo yaliyojaa kifuani mwako hayataisha au kupotea yenyewe yataendelea kukutafuna tu na kamwe hautakuwa huru. Kunatakiwa kuwepo na ukweli na maridhiano &quot;Truth and reconciliation&quot; baina yako wewe na baba yako ili muweze kuanza upya.
<br />
<br />
kwa sasahivi hana time na mimi yaani akinitafuta ni shida yake lakini sio vinginevyo na haoni haya na wala hakuna mtoto wake yeyote anaenidokezea kuwa siku hizi dingi mambo safi tukikutana wananichora tuu wanajikausha mbaya sijuhi tatizo ni nini nanilikua nawaona ni ndugu wenye upondo kwangu hata kunidokezea ??
















0
 
<span style="font-family: comic sans ms"><font size="4"><font color="#000080">hapo jibu unalo, wewe ni mtu mzima unayejitegemea, hebu hilo libaba tupa kule concentrate na maisha yako... mlee mama yako, baba yako unachoweza kufanya ni kumheshimu tu... na hulazimishwi kushikamana naye.. in this life unamthamini anayekuthamini asiyekuthamini tupa kule.... afterall heri kumjali mtu baki mbaye anakuthamini na kukusaidia=kukupenda kuliko ndg/mzazi asiyekupenda na kukuthamini. maisha ni yako na si ya mzazi wako, naamini mama yako amekulea kuwa strong nk, move on, ila siku mdingi akikuuliza kwa nini umechange mueleze ukweli</font></font></span>
<br />
<br />
Badili tabia thanx so much mchango wako ni mzuri naufanyia kazi
 
Pole sana Loly, unatakiwa kujua kwamba kuna watu wana tabia hii kwamba, akiona una hela anafikiri kwamba huhitaji tena msaada wa fedha japokuwa umesema mwanzo ulikuwa unamsaidia, sasa kapata yeye anajua wewe una uwezo kana kwamba huhitaji tena msaada wowote wa fedha.

Pia inawezekana kabisa sio kwamba hakupendi au hakujali ila anaona wewe kwa vile ndio ulikuwa unamsaidia una hela za kujitosheleza

Ushauri wangu kwako, muombe hela kiasi chochote uone kama atakupa au atasemaje, huenda atakupa bila kipingamizi chochote, akionesha negative responce ndio unaweza kufikiri hayo uliyosema kuwa ni kweli
 
Mimi kabla sijachangia ningependa kujua juu ya status ya maelewano baina yako na ndugu zako(hao wanaotaka kuanzishiwa biashara) ikoje?
 
unatakiwa ushukuru kwa kila kitu na hasa kwa kuwa na mzazi .... chochote unachokifanya kwa mzazi hutakiwi kukihesabu wala kutegemea malipo kulingana na uyatendayo kwake .. unatakiwa uelewe kwanza nini jukumu lako kwa mzazi wako na nini unatakiwa kukifanya bila kujali yuko katika hali gani .. pili ondoa dhana ya kujiona mnyonge au kuona wengine wana nafasi kubwa zaidi kuliko wewe .
kama una nafasi ya kufanya maendeleo yako wewe fanya na kama una ziada kwa ajili ya mzazi na nduguzo wasaidie pasi kutegemea kulipwa chochote
 
wapendwa wana jamii forum naombeni msaada wenu kuhusu huyu baba yangu mzazi.
Kwa kifupi mimi ni mtoto wa nje ya ndoa ninatambulika kwenye familia na kwenye ukoo ninashirikishwa kwenye kila kitu kwenye majukumu ya hela na mambo mengine, baba yangu huyu hakuwa na uwezo siku za nyuma alikuwa ananisumbua sana kuniombaomba hela nanilikua nampa japo nikishingo upande maana hajanilea toka aliponitelekeza nikiwa mtoto kwa mama yangu hadi nimemaliza shule nimekuwa mtu mzima nafanya kazi ndipo alipo nitokea nakujionyesha ananipenda nikawa namjali kwa chochote nilichonacho, sasa hivi baba huyu kapiga bingo ana hela kama uchafu cha ajabu hana time na mimi
anawasaidia watoto wake wengine mitaji na mambo mengine mengi mazuri kasoro mimi
kanitenga kama mtu baki jamani na hajawahi kunifanyia chochote kama mzazi kwenye maisha yangu nimelelewa na mzazi mmoja toka utotoni sijuhi radha ya baba ikoje ila nilivyokua ndio kaanza kujipendekeza kwangu na wala sio kwa upendo ni kwajili shida zake
Hivi majuzi bila aibu ananiambia ananiambia nimsaidie kumtafutia mtoto wake sehemu nzuri ya kufanyia biashara anataka kumpa mtaji bila hata kujiuliza huyu nimeshamtendea lipi kwenye maisha yake jamani huyu ni baba anaestahili kuonyeshwa upendo kweli? maana sijawahi kufikiria au kuzania kuwa siku huyu baba yangu mzazi akiwa na hela atanidharau hivi.
Jamani wana jamii naombeni mchango wenu.
mambo0 madog6adogo0
ukø
00
M

1. Ulitakiwa kumsaidia kwa roho moja............madhara ya kutoa msaada kwa shingo upande ndio hayo! Tenda wema uende zako usingoje shukrani.
2. Kimtazamo inaonekana baba bado anakuona uko fit kifedha hivyo anaelekeza msaada kwa wale wasiojiweza. La kama unahisi mambo yako hayajakaa sawa, muombe msaada husika. Ng'ombe anaelia ndio hupewa majani
 
baba ni baba tu na atabaki kua baba.hayo mengine ni mapungufu yake binafsi lakini hayafuti cheo chake cha ubaba kwako. kwanza msamehe tu na umuone ni mtu mwenye mapungufu asiyejua nini anafanya lakini bado ni baba yako!ukishamsamehe endelea kumuheshimu na endapo utakwama au utahitaji msaada wake mfuate tu umwambie face to fece kua nahitaji hiki na hiki then msikilize atasemaje.kwa ninavyoona anakuona tayari unamafanikio makubwa kimaisha so huitaji msaada ndio maana akakuletea hata ishu ya kumsaidia ndugu yako kupata sehemu ya kufanyia biashara.kakuona umeshakomaa kimaisha ndio maana amekushirikisha ktk hilo.so usifanye mambo kwa assumptions!!!mfate umwambie unashida then uone atasemaje!
 
1. Ulitakiwa kumsaidia kwa roho moja............madhara ya kutoa msaada kwa shingo upande ndio hayo! Tenda wema uende zako usingoje shukrani.<br />
2. Kimtazamo inaonekana baba bado anakuona uko fit kifedha hivyo anaelekeza msaada kwa wale wasiojiweza. La kama unahisi mambo yako hayajakaa sawa, muombe msaada husika. Ng'ombe anaelia ndio hupewa majani
<br />
<br /> maisha yangu ni yakubangaiza siko fit wala nini? Watoto wake wanaofanya kazi pia amewapa misaada kasoro mimi? Yaani yeye anajua mimi sijui kama kapiga bingo
anaminya kiaina
 
maisha yangu ni yakubangaiza siko fit wala nini? Watoto wake wanaofanya kazi pia amewapa misaada kasoro mimi? Yaani yeye anajua mimi sijui kama kapiga bingoanaminya kiaina
we jipange wewe kama wewe huna sababu ya kutegemea baba akuwezeshe
 
Back
Top Bottom