Jamani hizi ndoa zenu za cc zinaturusha roho wenzenu!!!


uwe unapitaga na huku kutupa hi jamani.

Halafu lile somo lako la siasa halikuniingia labisa itabidi tuanze upya maana 2015 sio mbali
 
uwe unapitaga na huku kutupa hi jamani.

Halafu lile somo lako la siasa halikuniingia labisa itabidi tuanze upya maana 2015 sio mbali
Haya hakuna problem; nitakuwa napitapita sana huku kuwasabahi...........masomo yetu tutaanza tena tukimaliza kuweka mambo sawa ndani ya chama ....... kuna virusi tunawascan ndani ya chama ....... hope soon nitakuwa available; ila pitiapitia zile notisi nikija nakupa quiz 2015 I karibu sana! mpe hi shemeji Arushaone!
 
Last edited by a moderator:

Poa, ukiwa tayari utanijulisha nami nitaendelea kupiga msuli kwaajili ya quiz.

Salamu kwa shemejio nitazifikisha.
 
Last edited by a moderator:
Atapewa talaka kisha atachukuliwa na mwingine wewe utabaki kuendelea kuumia.
 

hivyo vya kuotea vibaya shauri yako usiache kuvaa soksi lakini
salam zimefika
 
love u and you will be mine.
Completely mine

Lahaula lakwataa...hapa ngoja nirekebishe miwani yangu vizuri nipate kuyasoma haya!!!

measkron mpenzi hebu ukuje huku haraka, usisahau ile bastola yako eenh!!!
 
Last edited by a moderator:
Ah ah ah ah nimecheka sana aithee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…