Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
hahahahahahaha mie mtu nipo .......... nipo siasani mara nyingi zaidi kuliko huku ...... si unajua tunaandaa mikakati mizito kukabiliana na masalia ndani ya chama cha ukombozi ....... ....... tunapishana sana huko na mr president mtarajiwa (@arushaone)!
U mzima wewe!
uwe unapitaga na huku kutupa hi jamani.
Halafu lile somo lako la siasa halikuniingia labisa itabidi tuanze upya maana 2015 sio mbali