Jamani hizi ndoa zenu za cc zinaturusha roho wenzenu!!!

mwaJ kikulacho kinguoni mwako, wanaume wote tumeumbwa zaifu akiwemo mwandani wako Mwita Maranya.

Aaaaa wapi! Bishanga unajidanganya. Mwanaume wa kikurya hali vya kunyonga, akiitaka mtu mpya anaoa kabisa (anachinja). Hakuna vya kuficha ficha. Kwa hilo suala la kuongezewa mke mwenza kama lipo lazima nijulishwe mapemaaaaa. Au uongo Mwita Maranya?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Asavali umueleze huyo mzee Bishangaa ajue, mimi sili vya kunyonga ni mwendo wa kuchinja tu!!! Asifikiri kuwa udhaifu wake ndio udhaifu wa wanaume wenzake.

Aaaaa wapi! Bishanga unajidanganya. Mwanaume wa kikurya hali vya kunyonga, akiitaka mtu mpya anaoa kabisa (anachinja). Hakuna vya kuficha ficha.

Babe suala la kuongeza mke kwa sasa halipo kwakuwa so far umetimiza mahitaji yote yanayohitajiwa kwa mke wa mkurya.We jitulize tu uendelee kula raha na kufurahia maisha.

Kwa hilo suala la kuongezewa mke mwenza kama lipo lazima nijulishwe mapemaaaaa. Au uongo Mwita Maranya?
 
Last edited by a moderator:
Aaaaa wapi! Bishanga unajidanganya. Mwanaume wa kikurya hali vya kunyonga, akiitaka mtu mpya anaoa kabisa (anachinja). Hakuna vya kuficha ficha. Kwa hilo suala la kuongezewa mke mwenza kama lipo lazima nijulishwe mapemaaaaa. Au uongo Mwita Maranya?

Kwa hiyo mwaJ uko tayari kuolewa mitala? Ngoja nimtonye Madam B ana rafiki yake anataka kuolewa.
 
Last edited by a moderator:
Hakika mwaJ namwonea huruma in advance......bora angeolewa na mhaya nitonye the handsome
 
Last edited by a moderator:
thubutuuuu!!!!!!

Wote wanasemaga hivo hivo baadae unasikia wanalia 'oh bishanga bebiii nilikuwa wapi siku zote nisikutane na wewe'...kudadadadadeki chichiem oyeeee ( sos lusinde).
 
Afadhali nimeshusha pressure. Bishanga, Bujibuji, saudari, Mamndenyi, Jiwe Linaloishi na wanoko wengine mtasubiri sanaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…