mwaJ kikulacho kinguoni mwako, wanaume wote tumeumbwa zaifu akiwemo mwandani wako Mwita Maranya.
Marahama mtoto wangu mzuri, hujambo?Shikamoo mama
amu hawezi kuthubutu kuninyongea maana ni mdogo wangu anayeniheshimu sana.
mwaJ kikulacho kinguoni mwako, wanaume wote tumeumbwa zaifu akiwemo mwandani wako Mwita Maranya.
Aaaaa wapi! Bishanga unajidanganya. Mwanaume wa kikurya hali vya kunyonga, akiitaka mtu mpya anaoa kabisa (anachinja). Hakuna vya kuficha ficha.
Kwa hilo suala la kuongezewa mke mwenza kama lipo lazima nijulishwe mapemaaaaa. Au uongo Mwita Maranya?
Lady doctor kala yamini eti humpati hata kwa dawa
Aaaaa wapi! Bishanga unajidanganya. Mwanaume wa kikurya hali vya kunyonga, akiitaka mtu mpya anaoa kabisa (anachinja). Hakuna vya kuficha ficha. Kwa hilo suala la kuongezewa mke mwenza kama lipo lazima nijulishwe mapemaaaaa. Au uongo Mwita Maranya?
Lady doctor nakulia timing ujue........subiri ukiingia anga zangu huyo Arushaone utamtosa ka tambara la kupigia deki.....we subiri tu nitoke kilwakipatimo.
Hakika mwaJ namwonea huruma in advance......bora angeolewa na mhaya nitonye the handsomeAsavali umueleze huyo mzee Bishangaa ajue, mimi sili vya kunyonga ni mwendo wa kuchinja tu!!! Asifikiri kuwa udhaifu wake ndio udhaifu wa wanaume wenzake.
Babe suala la kuongeza mke kwa sasa halipo kwakuwa so far umetimiza mahitaji yote yanayohitajiwa kwa mke wa mkurya.We jitulize tu uendelee kula raha na kufurahia maisha.
mhhh shosti nawe mpanaaa.............ning'ate sikio basi
Labda kama hapendi raha!
Bishanga bingwa kustarehesha vimwana.....trip za dubai kwa sana tu Lady doctor hataki kweli?
thubutuuuu!!!!!!
mmmmmh...... Lakini mi sidanganyiki ujue
mhhh shosti nawe mpanaaa.............ning'ate sikio basi
Labda kama hapendi raha!
Bishanga bingwa kustarehesha vimwana.....trip za dubai kwa sana tu Lady doctor hataki kweli?
Afadhali nimeshusha pressure. Bishanga, Bujibuji, saudari, Mamndenyi, Jiwe Linaloishi na wanoko wengine mtasubiri sanaaaa!Asavali umueleze huyo mzee Bishangaa ajue, mimi sili vya kunyonga ni mwendo wa kuchinja tu!!! Asifikiri kuwa udhaifu wake ndio udhaifu wa wanaume wenzake.
Babe suala la kuongeza mke kwa sasa halipo kwakuwa so far umetimiza mahitaji yote yanayohitajiwa kwa mke wa mkurya.We jitulize tu uendelee kula raha na kufurahia maisha.