mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,948
mwaJ kikulacho kinguoni mwako, wanaume wote tumeumbwa zaifu akiwemo mwandani wako Mwita Maranya.
Aaaaa wapi! Bishanga unajidanganya. Mwanaume wa kikurya hali vya kunyonga, akiitaka mtu mpya anaoa kabisa (anachinja). Hakuna vya kuficha ficha. Kwa hilo suala la kuongezewa mke mwenza kama lipo lazima nijulishwe mapemaaaaa. Au uongo Mwita Maranya?
Last edited by a moderator: