Jamani huku makazini mwetu kuna kazi

Jamani huku makazini mwetu kuna kazi

Jamaa nimemfichia yake mengi eti leo analeta upumbavu aise.
Kwa hiyo umeamua kuja kunianika na kunipiga Majungu huku Jamii forum sio ?
Au unadhani wewe tu ndio upo jamii forum ? , umeshindwa nini kuniambia live ofisini ?
Naona unanichezea wewe.
Ngoja nikifungie safari , Jumatatu utakuja ofisini una okota makopo kama chizi
 
Siku nyingine tumia akili, usipende kukurupukia mambo ya wizi na dezo dezo.

Unaonekana hata hiyo nafasi uliipata kwa kudoea na kujambia ukuni. Hauko smart.

Usipende kushiriki kwenye magendo, na kama ukishiriki basi lazima uwe EXTREMELY SMART and CALCULATED.

Usijambie boro ili kupata nafasi. Tumia akili kupata unachostahili.

Cc: Lamomy cocastic Mbaga Jr Kapeace The Icebreaker Poor Brain Mzee wa kupambania
 
Aise wadau salama kabisa.
Aise nimeishiwa pozi jamani. kazini huku kuna kazi aise ni balaa ipo hivi hapa ofisi kwetu mm ni mtu wa tatu kiutawala sasa yupo mkuu wa idara na msaidizi wake halafu nafuata mimi .

Sasa kuna jambo fulani lilifanyika hapa ofisini ikabidi nishirikishwe sasa baada ya jambo kutiki msaidizi akanifata akaniambia kuwa inabidi tupate fungu na hata katika makubaliano ya mwanzo ilikuwa mchongo ukitiki tupate mgao kidogo.

Sasa baada ya mchongo kutiki mkuu wa idara akawa kama vile analeta chengachenga msaidizi wake akanifata na kuniambia kuwa tumfate jamaa atupe chetu .tulipo mfata akasema atatupa leo.
Sasa leo nikaona kamuita msaidizi akampa chake bwana ikabidi nimfate msaidizi kumuuliza kama kapewa akasema amepewa kumuuliza ngapi akanitajia kiasi.

Sasa ikabidi nimtafute bosi akasema tutaonana nae jioni.

Aise kanipigia anakoroma eti hapendi kufatiliwa. Kumbe msaidizi wake alimpigia akamwambia kuwa nimemfata nikamuuliza kiasi eti nalo limekuwa kosa kwamba namfatilia.

Tuishi kwa umakini na baadhi ya watu sasa jamaa kumwambia vile sijui lengo lilikuwa ninini? Hivi hapa bosi kasema jumatatu kikao maana ameniuliza nikakataa kuwa sikumfata jamaa nimemwambia kuwa jamaa ndio alinifata kuniuliza na mimi nashikilia msimamo huo. Jamaa anataka aonekane mzuri kwa bosi wakati ananjaa balaa.
Njaa na Tamaa vimekuponza hivyo malizana naye / nao mwenyewe. Ungepata hiyo Hela ungekuja Kutuambia hapa?
 
Siku nyingine tumia akili, usipende kukurupukia mambo ya wizi na dezo dezo.

Unaonekana hata hiyo nafasi uliipata kwa kudoea na kujambia ukuni. Hauko smart.

Usipende kushiriki kwenye magendo, na kama ukishiriki basi lazima uwe EXTREMELY SMART and CALCULATED.

Usijambie boro ili kupata nafasi. Tumia akili kupata unachostahili.

Cc: Lamomy cocastic Mbaga Jr Kapeace The Icebreaker Poor Brain Mzee wa kupambania
Hiyo tabia ya kujambia maboro inayo wanaume wengi humu wana viherehere na nuksi balaa
 
Kama ni mchongo wa haramu jumatatu nenda kwenye kikao set simu yako urecord kila kitu mwisho wa kikao save alafu mwambie ushahidi wa mkwara wote umeurekodi achague moja akupe chako au umuharibie? Na hata akikupa chako usiifute endelea kuishi nayo kama silaha nzito ya kivita maana utakua tayari umetangaza vita
 
Kwanza kaa kimya, Also jtatu muibukie ofisini chifu kabla ya kikao funguka ukweli na muombe msamaha mkiwa 2 then Tuendelee na mapambano, But all Jamaa ni mnafiki.
 
Back
Top Bottom