Jamani huku makazini mwetu kuna kazi

Jamani huku makazini mwetu kuna kazi

Halmashaur apo bila shaka..uswahili mwingi
Aise wadau salama kabisa.
Aise nimeishiwa pozi jamani. kazini huku kuna kazi aise ni balaa ipo hivi hapa ofisi kwetu mm ni mtu wa tatu kiutawala sasa yupo mkuu wa idara na msaidizi wake halafu nafuata mimi .

Sasa kuna jambo fulani lilifanyika hapa ofisini ikabidi nishirikishwe sasa baada ya jambo kutiki msaidizi akanifata akaniambia kuwa inabidi tupate fungu na hata katika makubaliano ya mwanzo ilikuwa mchongo ukitiki tupate mgao kidogo.

Sasa baada ya mchongo kutiki mkuu wa idara akawa kama vile analeta chengachenga msaidizi wake akanifata na kuniambia kuwa tumfate jamaa atupe chetu .tulipo mfata akasema atatupa leo.
Sasa leo nikaona kamuita msaidizi akampa chake bwana ikabidi nimfate msaidizi kumuuliza kama kapewa akasema amepewa kumuuliza ngapi akanitajia kiasi.

Sasa ikabidi nimtafute bosi akasema tutaonana nae jioni.

Aise kanipigia anakoroma eti hapendi kufatiliwa. Kumbe msaidizi wake alimpigia akamwambia kuwa nimemfata nikamuuliza kiasi eti nalo limekuwa kosa kwamba namfatilia.

Tuishi kwa umakini na baadhi ya watu sasa jamaa kumwambia vile sijui lengo lilikuwa ninini? Hivi hapa bosi kasema jumatatu kikao maana ameniuliza nikakataa kuwa sikumfata jamaa nimemwambia kuwa jamaa ndio alinifata kuniuliza na mimi nashikilia msimamo huo. Jamaa anataka aonekane mzuri kwa bosi wakati ananjaa balaa.
 
Hayo mambo ni ya kawaida tu makazini, Mkuu kabla ya kuingia kazi hukupata workshop training yoyote. Asante sana Udsm enzi za Spika Samuel Sitta tulikuwa tunapitia kitu inaitwa Public Integrity Restoration Initiative (PIRI) workshop...kazini hakika kuna mambo....." Penye riziki hapakosi..........?"
 
Aise mm nimemshangaa alitakiwa akiulizwa aseme tu kuwa sijamfata kumuuliza
Kwa Nini aseme uongo?
Wewe ulimfata huo ndo ukweli,na Sasa unataka kuukana ukweli.
Unafikiri Kati yako na jamaa boss anamwamini Nani zaidi???
Isipokuwa makini utagombana na jamaa na boss pia,then km Ni private,jiandae kuondoka hapo kazini
 
Kwa Nini aseme uongo?
Wewe ulimfata huo ndo ukweli,na Sasa unataka kuukana ukweli.
Unafikiri Kati yako na jamaa boss anamwamini Nani zaidi???
Isipokuwa makini utagombana na jamaa na boss pia,then km Ni private,jiandae kuondoka hapo kazini
Eti kwa nini asema uongo kuwa hujamfata unatakiwa ujiamini

Kikubwa hukutakiwa kumcheki huyo boss mapema ungetulia
kwanza.

Huyo jamaa wa pili yupo Genuine pengine alisema kuwa
ulimfata ili bosi ajue kama na wewe unastaili kupewa upewe
Kwa usalama wako kuwa makini sana kwenye kikao hiko usije
poteza kazi.
 
Aise wadau salama kabisa.

Aise nimeishiwa pozi jamani. kazini huku kuna kazi aise ni balaa ipo hivi hapa ofisi kwetu mm ni mtu wa tatu kiutawala sasa yupo mkuu wa idara na msaidizi wake halafu nafuata mimi.

Sasa kuna jambo fulani lilifanyika hapa ofisini ikabidi nishirikishwe sasa baada ya jambo kutiki msaidizi akanifata akaniambia kuwa inabidi tupate fungu na hata katika makubaliano ya mwanzo ilikuwa mchongo ukitiki tupate mgao kidogo.

Sasa baada ya mchongo kutiki mkuu wa idara akawa kama vile analeta chengachenga msaidizi wake akanifata na kuniambia kuwa tumfate jamaa atupe chetu .tulipo mfata akasema atatupa leo.

Sasa leo nikaona kamuita msaidizi akampa chake bwana ikabidi nimfate msaidizi kumuuliza kama kapewa akasema amepewa kumuuliza ngapi akanitajia kiasi.

Sasa ikabidi nimtafute bosi akasema tutaonana nae jioni.

Aise kanipigia anakoroma eti hapendi kufatiliwa. Kumbe msaidizi wake alimpigia akamwambia kuwa nimemfata nikamuuliza kiasi eti nalo limekuwa kosa kwamba namfatilia.

Tuishi kwa umakini na baadhi ya watu sasa jamaa kumwambia vile sijui lengo lilikuwa ni nini? Hivi hapa bosi kasema jumatatu kikao maana ameniuliza nikakataa kuwa sikumfata jamaa nimemwambia kuwa jamaa ndio alinifata kuniuliza na mimi nashikilia msimamo huo. Jamaa anataka aonekane mzuri kwa bosi wakati ananjaa balaa.
Vihere here wapo wengi sana
 
Aise wadau salama kabisa.

Aise nimeishiwa pozi jamani. kazini huku kuna kazi aise ni balaa ipo hivi hapa ofisi kwetu mm ni mtu wa tatu kiutawala sasa yupo mkuu wa idara na msaidizi wake halafu nafuata mimi.

Sasa kuna jambo fulani lilifanyika hapa ofisini ikabidi nishirikishwe sasa baada ya jambo kutiki msaidizi akanifata akaniambia kuwa inabidi tupate fungu na hata katika makubaliano ya mwanzo ilikuwa mchongo ukitiki tupate mgao kidogo.

Sasa baada ya mchongo kutiki mkuu wa idara akawa kama vile analeta chengachenga msaidizi wake akanifata na kuniambia kuwa tumfate jamaa atupe chetu .tulipo mfata akasema atatupa leo.

Sasa leo nikaona kamuita msaidizi akampa chake bwana ikabidi nimfate msaidizi kumuuliza kama kapewa akasema amepewa kumuuliza ngapi akanitajia kiasi.

Sasa ikabidi nimtafute bosi akasema tutaonana nae jioni.

Aise kanipigia anakoroma eti hapendi kufatiliwa. Kumbe msaidizi wake alimpigia akamwambia kuwa nimemfata nikamuuliza kiasi eti nalo limekuwa kosa kwamba namfatilia.

Tuishi kwa umakini na baadhi ya watu sasa jamaa kumwambia vile sijui lengo lilikuwa ni nini? Hivi hapa bosi kasema jumatatu kikao maana ameniuliza nikakataa kuwa sikumfata jamaa nimemwambia kuwa jamaa ndio alinifata kuniuliza na mimi nashikilia msimamo huo. Jamaa anataka aonekane mzuri kwa bosi wakati ananjaa balaa.

Hebu tuambie kabisa mmepiga ngapi ili tukiona miradi ya Uma mliyokabidhiwa inadorora kwa kukosa pesa tupate pa kuanzia
 
Ni hatari mtu kazi yake ya kwanza tu ni kua kwenye level ya decision making. Anakua mpuuzi mapema sana.

Hapo wote watatu wamekutana bado watoto.

Huyo bosi hakua na haja ya kutoa pesa ya dili kwa mtu mmoja mwingine asubirie.

Msaidizi hakua na haja ya kujibu kapokea pesa, kutaja kiasi na kumrudia bosi kumpa taarifa.

Huyu jamaa hakua na haja kumfuata msaidizi kuhoji kisha kuja kulalamika mtandaoni.

Few weeks later ndiyo unakuta hawa wanaongoza taasisi za umma.
 
Back
Top Bottom