Jamani huku makazini mwetu kuna kazi

Unaishi na mswahili hapo kuwa makini sana sana hao watu ni hatari, watu mmefanya dili wote halafu ameshakuzunguka. Wala usijaribu kufanya dili na watu hao hata siku moja, ni Mpogoro nini huyo?
 
Nani mdogo wako kuwa na heshima na baba zako.
Mh sijaona dingi hapo ,dingi unagombania viposho vya nyuma ya pazia .
Mimi dingi hakuwa Kama wewe ,sema nini njoo PM tupange pambano la ngumi ,maana watu Kama nyie Mimi uwa sibishani kwa maneno napendeleaga tukutane nikupige heshima iwepo .
Au nikutajie member kadha wa kadha ambao kipigo changu kiliwatembelea ?
 
acheni uwizi,ila akikufukuza kazi na wewe chukua kibiriti na ka petroli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…