Jamani Husninyo anatafuta mchumba

Jamani Husninyo anatafuta mchumba

Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe

Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.

Kwenye PM nimesha kutumia CV yangu, birth certificate, copy ya vyeti vyangu vya taaluma, bank statement, salary slip za miezi sita nyuma, copy ya hati zangu za nyumba, barua ya afisa mtendaji kata na medical examination report ili kukutoa shaka kabisa juu ya status yangu ya afya
 
Kwenye PM nimesha kutumia CV yangu, birth certificate, copy ya vyeti vyangu vya taaluma, bank statement, salary slip za miezi sita nyuma, copy ya hati zangu za nyumba, barua ya afisa mtendaji kata na medical examination report ili kukutoa shaka kabisa juu ya status yangu ya afya

Yaan Bujibuji ukitoswa kwa yote uliyoelezea hapa nakuomba ujinyongeee
 
Last edited by a moderator:
ningeomba ila nawanwasi na G.P.A yako huenda ikawa ipi chin ya 4.0, mi nilishajiwekea msimamo wang kuwa sioi mwanamke mwenye wastan wa hiyo G.P.A naogopa product zang (watoto wasijekuwa vilaza. Mi nina 4.6 from UDSM.
Swali la pili vip uwezo wa familia yenu ,kuna aliyewahi kumiliki vogue/hummer..hii ni kuanzia kwa mjomba na shngzi inclsive.

hahahaha!
 
Kwenye PM nimesha kutumia CV yangu, birth certificate, copy ya vyeti vyangu vya taaluma, bank statement, salary slip za miezi sita nyuma, copy ya hati zangu za nyumba, barua ya afisa mtendaji kata na medical examination report ili kukutoa shaka kabisa juu ya status yangu ya afya

sina imani na hiyo medical examination report. Lazma twende mguu kwa mguu.
 
Yaan Bujibuji ukitoswa kwa yote uliyoelezea hapa nakuomba ujinyongeee

shosti hebu niangalizie kwenye pm yako kama hizo docs za bujibuji zimekuja kwako. Huku kwangu sizioni
 
Last edited by a moderator:
Husninyo nakuita dear! Ebu Jaribu kuongea na wifi yako Ennie akupe wasifu wangu Kua Mimi ndio tajiri Wa mang'ombe Gamboshi nzima! Au ongea na Shemeji yako Baba Paroko Mkuu Wa maparoko wote Duniani Eiyer akupe zangu kidogo! Maana ukiwasikiliza kina mwallu na miss neddy utaona wananipendelea sn!

Na Mimi nashariti Moja tu! Husninyo mbali ya wasifu wako wote Ulo eleza rangi yako hujaisema! We ni Mweupe?
Hapo kwenye rangi ndio kigezo muhimu kuliko vyote Kule kwetu,ng'ombe wataachiwa watoke wenyewe zizini Bila kuhesabiwa!!!
 
Last edited by a moderator:
shosti hebu niangalizie kwenye pm yako kama hizo docs za bujibuji zimekuja kwako. Huku kwangu sizioni
mimi sijui ntafikiriwa nimemaliza chuo juzuu zote,hiyo ni equivalent na phd ya caanon.
 
Husninyo besti , nitumie picha chapuchapu , nikamate fursa adimu hii mamaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe

Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.

Hivi ile Avatar yako ya kukonyeza haikukusaidia kupata mwenza? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee just joking. Kila la kheri kama kweli uko serious kumpata your darling.
 
wewe selective,umesahau kitu cha muhimu...ASIWE PUNGA (MCHELE MCHELE )
 
Damu ya kichaga! Haya mimi nina kabati ya baridi, nina sinema ya nyumbani, ng'ombe ya masiwa na stauti dume! Nina numba ya mawe na shmba la urisi! Elimu nafanya kasi nkwarungo na ni bingwa wa kushungusa makooosi! Umri bado kufika hamsinyi! Kwiifo enda ro kekwee! Karibu Tongaako!
 
dear Husninyo..... kwanini unabagua watu wafupi..?

actually, mimi ni saiz ya hasheem thabeet.. how do you see? nimezidi ama?
kipenda roho ula nyama mbichi.. hajabagua wafupi, ila anavutiwa zaidi na wale warefu kama wewe
 
Back
Top Bottom