Jamani Husninyo anatafuta mchumba

Huu sasa utaahira
 

Kudadadeki
 
Last edited by a moderator:
come on ninyo.. you are here to look for a fiance! not judging somebody's status..

kwanini mkiambiwa maneno matam mna-term watu kama mabazazi? why me!

oh baby!

Sababu Maneno yako yamezidi standard ya utamu labda hahaha
 
hivi mapenzi pia yanaangalia kigezo cha elimu da tusio na degree tutakomaje
labda tuwe na pesa sijui na haka katabia kapo kwa wanawake mtasubiri sana

Aiseee katiba mpya itoe ufafanuzi kuhusu hili suala
 
tatizo maneno matamu sana nayo yanaogopesha ujue.

sasa utaolewaje na mtu mwenye maneno makavu hivi? utabembelezwaje ukilia? ukiumia je?

mkiwa sita kwa sita, aongee kiafande? reta ture?

lazima bana upate mtu mwenye maneno bana! akiongea, unajisikia kuachia mwenyewe..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…