Jamani Husninyo anatafuta mchumba

Jamani Husninyo anatafuta mchumba

una umri kias gani bibie?,hiyo degree uliyonayo ya masomo gani.,attach your picture,then yu get me
 
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe

Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.

All the best Husninyo !
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni Father Malila, wa Parokia ya Mkuranga, nilimwahidi Muumba kuto kwenda kinyume na patano letu.

Safi sana father Malila, hivi ile project ya mapumziko garden imeshakamilika? bado najipanga nije huko, natumai gharama zake ni affordable.
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu uko wapi kuna fursa huku
njoo uchangamkie chap chap sana
lakini Husninyo degreee yako utakubali kuitumia kwa manufaa ya familia tu kuongeza idadi uzalishaji wa maziwa na si watujua wasukuma kaka yangua na ng'ombe 200 kidogo
kama uko tayari funga lisred ujipatie mawifi wa kijanja chap chap sana kama mimi mwallu venine honeyfaith
 
Last edited by a moderator:
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe

Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.

Aaaah! Nilikutokea zamani ukanirusha.

Vigezo vyote nimetimiza na zaidi.

Sasa naamini, mambo mazuri hayataki haraka, ni PM.
 
not qualified mweh! Sijui kwanini niliumbwa mfupi, sina degree, sina kazi, sina pesa, looh! ThE oNly THING I HAVE THAT YOU NEED IS DUSHE also known as MGEGEDIO, Utanikubali? Na wala sivutii
 
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe


Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.

dear Husninyo..... kwanini unabagua watu wafupi..?

actually, mimi ni saiz ya hasheem thabeet.. how do you see? nimezidi ama?
 
Last edited by a moderator:
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. anizidi urefu
5. anizidi umri............. tafwadhali usiwe kibabu
6 asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe

Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.
sisi tulioishia la saba na tunauza supu ya ngoz..tunakomaaje :A S 13::A S 13:
 
Safi sana father Malila, hivi ile project ya mapumziko garden imeshakamilika? bado najipanga nije huko, natumai gharama zake ni affordable.

Iko pazuri, kwa sasa imejitangaza tayari, ukiuliza kwa konda wa njia ile,wapi mabanda ya mbuzi atakushusha, tunaendelea na ujenzi wa nyumba ya samaki aina ya sato/perege. mdogo mdogo.
 
Back
Top Bottom