Jamani Husninyo anatafuta mchumba

Jamani Husninyo anatafuta mchumba

yaani EMT baada ya kusoma kile kitabu najiona kama nimekuwa mpya. nishaanza kuyafanyia kazi nitakupa feedback. ile "the secret to money" nairudiaje rudiaje! lol. nataka kumeza kila mstari kwenye hicho kipengele.

Hahaha angalia pia usiitafsiri hyo mistari vibaya
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nitume maombi fasta naona fursa mbele yangu, sio mbaya nikaongeza another one
 
Hehehe pole shemeji. Kutendwa Ni siri ya nje, kuchapiwa ndo ya ndani. Jiongeze tartibuu. Huyu mkwe wangu utanuweza lakini, jilipue.
simu yangu antena yake imeng'oka so network ni majanga, sweetlady alinitenda itabidi tuongee shemu wangu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom