santos mtn
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 348
- 369
hahahaha, naona umejipigia pande kila la kherimbona warembo zaidi tupo au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha, naona umejipigia pande kila la kherimbona warembo zaidi tupo au?
Na mm nilimpenda kabla yako kwenye ile nyimbo na Mr. Flavour
[emoji1] [emoji1]Kumbe na wewe ulianza kumpenda juzi, mimi nilianza kumpenda tangu wimbo wake wa kwanza kabisa wa Jankoliko
Sasa kwani wewe unajua umri wetu sisi tunaemtamani huyo unayemuita mzee??Ana uzuri gani..... hana tofauti yoyote... sura ya uzee kabisa iyo
Kwel ww jamaa n noma sana unajua.... [HASHTAG]#Kizur[/HASHTAG] n kizur na chenye ubora n bora#Jamani kama kuna mtu anae jua njia za ku mpata huyu dada anisaidie.
Mana kama sifa zote ninazo za kuwa nae.
Naweza honga hata pesa ya kupiga nae picha tu kama hatonipenda.![]()
![]()
![]()
Sipo katika matamanio yako.... una uhuru wa kutamani chochote kila mtu ana hisia zake za matamanio... mi namzungumzia yeye km yeye ... we endelea kumtaman tu brazaSasa kwani wewe unajua umri wetu sisi tunaemtamani huyo unayemuita mzee??
Hahahahaha dah kwel umenena ya moyon hayo..Kana tuswaga fulani twa kibinti binti. Yani mi nikikaonaga tu huwa nasisimka,hadi nakaonea aibu wakati kapo kwenye tv. Katakuwa kachawi haka siyo bure!
Yeye kama yeye unasema kazeeka na sisi ni wazee tumevutiwa nae Mzee mwenzetu.Sipo katika matamanio yako.... una uhuru wa kutamani chochote kila mtu ana hisia zake za matamanio... mi namzungumzia yeye km yeye ... we endelea kumtaman tu braza
Usimfananishe Chidnma na vitu vya ajabu.Kafanana na waziri wetu wa afya
shocking disrespect mkuuUsimfananishe Chidnma na vitu vya ajabu.
bro kuwa mkwel na mzee utasemaje au ndo sungura czitaki mbich izAna uzuri gani..... hana tofauti yoyote... sura ya uzee kabisa iyo