Jamani inawezekana vipi nikachaguliwa chuo ambacho sikukiomba Yan nilichaguliwa chuo Cha Kampala dirisha la kwanza na mimi sijawahi kukuomba hiki chuo niliomba udsm ,ardh na mzumbe lakini sikuchaguliwa.
Nilirudia dirisha la pili tena ndo nasubilia matokeo Sasa Leo napigiwa na chuo Cha Kampala eti nilichaguliwa kuangalia majina ya waliochaguliwa Kampala na mimi nimo wakat sna hata account.
Yaani ufupi sijui chochote wakaniuliza waconferm au wakansel me nimesema wanifute maana coz nimechaguliwa ambayo hata vyuo nilivoomba sikuwahi ijaza sasa walivonifuta siku zimebaki nne tu selection zitoke hapa nna hofu Kama ntachaguliwa jamn nifanyeje?
Nilirudia dirisha la pili tena ndo nasubilia matokeo Sasa Leo napigiwa na chuo Cha Kampala eti nilichaguliwa kuangalia majina ya waliochaguliwa Kampala na mimi nimo wakat sna hata account.
Yaani ufupi sijui chochote wakaniuliza waconferm au wakansel me nimesema wanifute maana coz nimechaguliwa ambayo hata vyuo nilivoomba sikuwahi ijaza sasa walivonifuta siku zimebaki nne tu selection zitoke hapa nna hofu Kama ntachaguliwa jamn nifanyeje?