katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Hongera, hope baba yake mko pamoja.Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya ππππ
Kakue chimamy wangu mwaya.
Mwandiko umefanana na wa single maza sana!Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya ππππ
Kakue chimamy wangu mwaya.
Kisaa?Mwandiko umefanana na wa single maza sana!
Hongera kwa kukuza kabinti but I hope your husband is taking good care of your daughter too.Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya ππππ
Kakue chimamy wangu mwaya.
sawa mama mukwe.. naandaa zizi zima na jins maisha inakimbia mbio mbio ni kesho kutwa tuJamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya ππππ
Kakue chimamy wangu mwaya.
Eh situmeoana kabisa ni ndoa ya kanisani juzi ndio tulifanya aniversary ya vimiaka kadhaa vya ndoa he so lovely, kind ,special but shida ipo kwa wanawake anapenda sana huyo mtu.Hongera, hope baba yake mko pamoja.
Tuone kama atachugua nanisawa mama mukwe.. naandaa zizi zima na jins maisha inakimbia mbio mbio ni kesho kutwa tu
Ushindwe na ulegee nimekuwa na majukumu sina muda wakubweka bweka humuKisaa?
Yes he is veryHongera kwa kukuza kabinti but I hope your husband is taking good care of your daughter too.
π€£π€£π€£Mwandiko umefanana na wa single maza sana!
Unaweza kutuambia Kwa nini akuwaowa hao kama kweli anapenda wanawake ila amekuowa wewe na Anniversary juu?Eh situmeoana kabisa ni ndoa ya kanisani juzi ndio tulifanya aniversary ya vimiaka kadhaa vya ndoa he so lovely, kind ,special but shida ipo kwa wanawake anapenda sana huyo mtu.
All in All sio unapata kila kitu kwa mwanaume ukijaliwa na kupendwa basi.