Wewe witnessj mie sio nilikuomba utupe lulu kwa nguruwe umenielewa .
Wewe unajinadi unabwana tajiri na huku ni mume wa mtu umezaa naye mtoto .
Mie sijakuomba uchukuliwe na rafiki yako kipenzi mume akaolewa yeye wewe ukakatiwa hela ya matumizi .
Mie sio nilikustopisha starehe zako ni hao uliowaamini so unikome saivi unalewa lewa tu ukikumbuka lulu ulizowapa nguruwe wachezee .
So niache namaisha yangu wewe ndio lichizi kwa maana mlianza wote maisha akapata ukaanza maringo kisa ulikuwa unalipa saivi ulipi sana watu hawana hela na alipokutadharisha anaoa ulikuwa unaona utani saivi unaniona unaleta maneno maneno nimejaribu kuwa mwelewa ila unanichokonoa saivi fanya unavyotaka sikujibu nasoma comment kama wengine bibie saivi upo na huyo sijui kamarioo mnazunguka town tu mnakuja mnalala .
Fanya yako watu humu wanakupenda kisa usemi hapana wewe ni YES madam