Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha

Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha

Mkuu umeshindwa kutambua kuwa huyu ni mmoja mwenye hizi id mbili?,hata mwandiko tuu unaonyesha
Sihangaikagi na watu walioshindwa maisha yao .
Ukiona ndege watembeao pamoja wanaakili moja wote mmeshindwa maisha yenu siku jibu tena kama mwanaume umevurugwa hivi siye tusemeje kwanza utanitia nuksi buree.
 
Unique Flower na katoto kazuri unapata faida gani kuwa id mbilimbili?
Halafu wewe muuza ice cream uliyenunuliwa simu na msamaria mwema nimetulia zangu muda tu usidhani nakuogopa shenzi tu kazi kuingilia visivyokuhusu.

Sikujui ni mtu anaid yake mnamwonea wivu kama nini kinawauma kwani nawewe siutoe post shida yako nini unawashwa na post zangu kama nalipwa nahuku muda niwangu na data ni yangu hujawahi nipa hata data unayo hiyo hela ya bundle
 
Wewe witnessj mie sio nilikuomba utupe lulu kwa nguruwe umenielewa .
Wewe unajinadi unabwana tajiri na huku ni mume wa mtu umezaa naye mtoto .
Mie sijakuomba uchukuliwe na rafiki yako kipenzi mume akaolewa yeye wewe ukakatiwa hela ya matumizi .

Mie sio nilikustopisha starehe zako ni hao uliowaamini so unikome saivi unalewa lewa tu ukikumbuka lulu ulizowapa nguruwe wachezee .

So niache namaisha yangu wewe ndio lichizi kwa maana mlianza wote maisha akapata ukaanza maringo kisa ulikuwa unalipa saivi ulipi sana watu hawana hela na alipokutadharisha anaoa ulikuwa unaona utani saivi unaniona unaleta maneno maneno nimejaribu kuwa mwelewa ila unanichokonoa saivi fanya unavyotaka sikujibu nasoma comment kama wengine bibie saivi upo na huyo sijui kamarioo mnazunguka town tu mnakuja mnalala .

Fanya yako watu humu wanakupenda kisa usemi hapana wewe ni YES madam
 
Halafu wewe muuza ice cream uliyenunuliwa simu na msamaria mwema nimetulia zangu muda tu usidhani nakuogopa shenzi tu kazi kuingilia visivyokuhusu.

Sikujui ni mtu anaid yake mnamwonea wivu kama nini kinawauma kwani nawewe siutoe post shida yako nini unawashwa na post zangu kama nalipwa nahuku muda niwangu na data ni yangu hujawahi nipa hata data unayo hiyo hela ya bundle
Hapa umeandika vizuri ingawa siungi mkono ugomvi wenu
 
Nawewe unashangilia ujinga tu mwenyewe juzi ulikuwa unasemwa tu kwenye nyuzi za watu kuwa wewe ni kanafiki hakana hela sishangai akili hiyo hiyo
Hahahah kumbe mna muda kabisa wa kukaa na kunijadili 😂😂😂 kweli nyota yangu inang'ara sana hakika...We tuliza kipele jike hiko ni ushauri tu, huna jipya!!!
 
Wewe witnessj mie sio nilikuomba utupe lulu kwa nguruwe umenielewa .
Wewe unajinadi unabwana tajiri na huku ni mume wa mtu umezaa naye mtoto .
Mie sijakuomba uchukuliwe na rafiki yako kipenzi mume akaolewa yeye wewe ukakatiwa hela ya matumizi .

Mie sio nilikustopisha starehe zako ni hao uliowaamini so unikome saivi unalewa lewa tu ukikumbuka lulu ulizowapa nguruwe wachezee .

So niache namaisha yangu wewe ndio lichizi kwa maana mlianza wote maisha akapata ukaanza maringo kisa ulikuwa unalipa saivi ulipi sana watu hawana hela na alipokutadharisha anaoa ulikuwa unaona utani saivi unaniona unaleta maneno maneno nimejaribu kuwa mwelewa ila unanichokonoa saivi fanya unavyotaka sikujibu nasoma comment kama wengine bibie saivi upo na huyo sijui kamarioo mnazunguka town tu mnakuja mnalala .

Fanya yako watu humu wanakupenda kisa usemi hapana wewe ni YES madam
Kweli stress mbaya sana asee!
 
Hahahah kumbe mna muda kabisa wa kukaa na kunijadili 😂😂😂 kweli nyota yangu inang'ara sana hakika...We tuliza kipele jike hiko ni ushauri tu, huna jipya!!!
Nani akujadili sasa hakuna unasura yakujadiliwa sasa huna
 
Back
Top Bottom