katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
- Thread starter
- #141
Haya bhana sinausemiSiku mkiachana naomba niitumikie hiyo nafasi yake natangaza nia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya bhana sinausemiSiku mkiachana naomba niitumikie hiyo nafasi yake natangaza nia
Utofauti wenu wa umri ni ngapi?Mimi nipo na baba watoto wangu na anahudumia sina shida naye kuhusu familia ila nashida naye kuhusu kuchepuka anachepuka naogopa kuandika mabaya maana amesaidia mengi sana
45 jamaa hapo kipindi ananza maisha na mimi 30 years ni mie kipindi naanza maisha nayeUtofauti wenu wa umri ni ngapi?
Asante Sana kwa kunijibu na kuwa muwazi nawatakia kila la kheri katika mahusiano yenu Mungu awatie nguvu na awape baraka tele45 jamaa hapo kipindi ananza maisha na mimi 30 years ni mie kipindi naanza maisha naye
Kakue kalipe madeni ya baba ake.Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya [emoji4][emoji4][emoji7][emoji8]
Kakue chimamy wangu mwaya.
Haaahaaaha aseee!Hujui wewe ulivyo mtakavitu na mchukua vitu au unataka nielezee kiundani mimi nakujua sana kiundani hadi picha ninazo ila sina roho mbaya kama yako ya kukusema vibaya kwa sababu sijakuzwa kihivyoo.
Unalo aisee witnessj hapo umechokoza ligiHaaahaaaha aseee!
Mimi mtakavitu vya nani? Na mchukua vitu kivip? Wewe sikia mi siogopi kitu, hebu lete hizo picha na nakuruhusu kabisa uelezee kiundani ili watu wote wajue hapa!
Mimi nimekuruhusu haya tiririka
Hahahaha duuuh[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji848][emoji848]45 jamaa hapo kipindi ananza maisha na mimi 30 years ni mie kipindi naanza maisha naye
😂🤣🤣🤣🤣 hadi raha umepanic wewe chiziHaaahaaaha aseee!
Mimi mtakavitu vya nani? Na mchukua vitu kivip? Wewe sikia mi siogopi kitu, hebu lete hizo picha na nakuruhusu kabisa uelezee kiundani ili watu wote wajue hapa!
Mimi nimekuruhusu haya tiririka
😂🤣🤣🤣🤣 hadi raha umepanic wewe chiziHaaahaaaha aseee!
Mimi mtakavitu vya nani? Na mchukua vitu kivip? Wewe sikia mi siogopi kitu, hebu lete hizo picha na nakuruhusu kabisa uelezee kiundani ili watu wote wajue hapa!
Mimi nimekuruhusu haya tiririka
Wewe unaye au upo tu unakodoa post zawatuHahahaha duuuh[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji848][emoji848]
Aisee yapi hayoo hatunaga madeni sisiKakue kalipe madeni ya baba ake.
Siyo wote wanapenda kuwa single Mama, wengine inatokea bahati mbaya....haifai kuwakejeli!Mwandiko umefanana na wa single maza sana!
Mkuu umeshindwa kutambua kuwa huyu ni mmoja mwenye hizi id mbili?,hata mwandiko tuu unaonyeshaMkuu kuna kolabo ya hatari kati ya huyu katoto na hiyo yuniki flawa, akili zao kama mapacha vile