Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha

Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha

Unaweza kutuambia Kwa nini akuwaowa hao kama kweli anapenda wanawake ila amekuowa wewe na Anniversary juu?
Kwa sababu aliona mie namjali sana tena kipindi bi mkubwa alipoachana naye ndio akapata shida zaidi ya kunywa pombe .
So akawa anapenda sana kubadilisha puchi ila baada ya divorce kufinalize ndio akaona haina haja yakufa na shida za pressure akanioa na sasa tupo tu
 
Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya 😊😊😍😘
Kakue chimamy wangu mwaya.
Mwanzo hadi mwisho sijaelewa.
 
Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya 😊😊😍😘
Kakue chimamy wangu mwaya.
Usha zaa 😁😁
 
Kwa sababu aliona mie namjali sana tena kipindi bi mkubwa alipoachana naye ndio akapata shida zaidi ya kunywa pombe .
So akawa anapenda sana kubadilisha puchi ila baada ya divorce kufinalize ndio akaona haina haja yakufa na shida za pressure akanioa na sasa tupo tu
Sijaelewa unazungumzi past, present or future?

Ulielewa mantiki ya swali langu?
 
Eh situmeoana kabisa ni ndoa ya kanisani juzi ndio tulifanya aniversary ya vimiaka kadhaa vya ndoa he so lovely, kind ,special but shida ipo kwa wanawake anapenda sana huyo mtu.

All in All sio unapata kila kitu kwa mwanaume ukijaliwa na kupendwa basi.
Muroge period
 
Back
Top Bottom