Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha wazima mrembo?Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya [emoji4][emoji4][emoji7][emoji8]
Kakue chimamy wangu mwaya.
Ndio nini unaniandikia hujakuwaga tu nakusonga mbele fuata yako acha hasira hii dunia ya wote chizi wewe na ukoo wako wote hata na uzao unaokuja woteIla we lidemu ulikuwaga chizi fresh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
WazimaArusha wazima mrembo?
Mbona hasira hivyo mamiloNdio nini unaniandikia hujakuwaga tu nakusonga mbele fuata yako acha hasira hii dunia ya wote chizi wewe na ukoo wako wote hata na uzao unaokuja wote
Kwa sababu aliona mie namjali sana tena kipindi bi mkubwa alipoachana naye ndio akapata shida zaidi ya kunywa pombe .Unaweza kutuambia Kwa nini akuwaowa hao kama kweli anapenda wanawake ila amekuowa wewe na Anniversary juu?
HamnaMbona hasira hivyo mamilo
Unique FlowerMwandiko umefanana na wa single maza sana!
#kataa wahuni#Kapeleke bweni wasikatindue mapema kitaa!
Mwanzo hadi mwisho sijaelewa.Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya 😊😊😍😘
Kakue chimamy wangu mwaya.
Mimi sio single maza hata kidogo nausiniwekee nuksi tafadhali .
Usha zaa 😁😁Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya 😊😊😍😘
Kakue chimamy wangu mwaya.
We single mothers hatuna muandiko wa hivyo!😑Mwandiko umefanana na wa single maza sana!
vipi leo hatu log off ?Hongereni kwa kuumba
Z
Sijaelewa unazungumzi past, present or future?Kwa sababu aliona mie namjali sana tena kipindi bi mkubwa alipoachana naye ndio akapata shida zaidi ya kunywa pombe .
So akawa anapenda sana kubadilisha puchi ila baada ya divorce kufinalize ndio akaona haina haja yakufa na shida za pressure akanioa na sasa tupo tu
wapi pichaaJamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya 😊😊😍😘
Kakue chimamy wangu mwaya.
Muroge periodEh situmeoana kabisa ni ndoa ya kanisani juzi ndio tulifanya aniversary ya vimiaka kadhaa vya ndoa he so lovely, kind ,special but shida ipo kwa wanawake anapenda sana huyo mtu.
All in All sio unapata kila kitu kwa mwanaume ukijaliwa na kupendwa basi.