ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Unique Flower na katoto kazuri !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu jf kama kuna mtu kanigusa tu au kanipuliza kama puto ajeAcha makasiriko wewe utachuja ndio maana kila siku wanakutenda na kupita kushoto🤣🤣🤣
Utaendelea kuota utajiri tu hadi siku yako ya mwisho na utapondea watu wenzako wanapanga mambo yao shauri yako mzee baba
Sasa unahangaika na watu huwajui aisee huwaoni unajua kingereza kizuri siukatafute mzungu tu uolewe uende mambele achana na hawa hata huwaoni huwajui watakutesa tu wanashida sana na maisha yao yamewashinda ni hayo tu.Humu jf kama kuna mtu kanigusa tu au kanipuliza kama puto aje
Acha kumuotea mwenzako mabaya sio vizuriAcha makasiriko wewe utachuja ndio maana kila siku wanakutenda na kupita kushoto🤣🤣🤣
Mama yoyo takwenya😄Acha kumuotea mwenzako mabaya sio vizuri
Nimekuelewa asante kwa ushauriSasa unahangaika na watu huwajui aisee huwaoni unajua kingereza kizuri siukatafute mzungu tu uolewe uende mambele achana na hawa hata huwaoni huwajui watakutesa tu wanashida sana na maisha yao yamewashinda ni hayo tu.
Hvi wewe umeoa au umeolewa nauliza tu unawatoto wangapi wa nje na wangapi wa ndoa .Mama yoyo takwenya😄
Kwani si umeolewa lakini?😁Hvi wewe umeoa au umeolewa nauliza tu unawatoto wangapi wa nje na wangapi wa ndoa .
Unakazi inayoingiza kwa mwezi ml5 plus je unabiashara ambayo usiku unaingiza 1 ml per day??
Je ukiwa free unawaza upotolo au mambo yakujenga maisha .??
Kwa hiyò ma single father tuna nuksi eti?Mimi sio single maza hata kidogo nausiniwekee nuksi tafadhali .
Wewe ndio single father na utakuwa hivyo milele na milele hata uchinje kuku kivipi
Mkuu kuna kolabo ya hatari kati ya huyu katoto na hiyo yuniki flawa, akili zao kama mapacha vileKwa hiyò ma single father tuna nuksi eti?
Nataka nimtongoze Unique Flower unanishaurije mkuu.Mkuu kuna kolabo ya hatari kati ya huyu katoto na hiyo yuniki flawa, akili zao kama mapacha vile
Jibu mie sio nakutaka nataka nikusaidie jambo ambalo litakucost mbeleniKwani si umeolewa lakini?😁
Unachelewa mkuu fanya fastaNataka nimtongoze Unique Flower unanishaurije mkuu.
Hivi leo mimi nasaidiwa na katoto kazuri hahaha, asante mremboJibu mie sio nakutaka nataka nikusaidie jambo ambalo litakucost mbeleni
mzabzab ndugu yangu ht kutuambia.Eh situmeoana kabisa ni ndoa ya kanisani juzi ndio tulifanya aniversary ya vimiaka kadhaa vya ndoa he so lovely, kind ,special but shida ipo kwa wanawake anapenda sana huyo mtu.
All in All sio unapata kila kitu kwa mwanaume ukijaliwa na kupendwa basi.