Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha

Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha

Humu jf kama kuna mtu kanigusa tu au kanipuliza kama puto aje
Sasa unahangaika na watu huwajui aisee huwaoni unajua kingereza kizuri siukatafute mzungu tu uolewe uende mambele achana na hawa hata huwaoni huwajui watakutesa tu wanashida sana na maisha yao yamewashinda ni hayo tu.
 
Sasa unahangaika na watu huwajui aisee huwaoni unajua kingereza kizuri siukatafute mzungu tu uolewe uende mambele achana na hawa hata huwaoni huwajui watakutesa tu wanashida sana na maisha yao yamewashinda ni hayo tu.
Nimekuelewa asante kwa ushauri
 
Hvi wewe umeoa au umeolewa nauliza tu unawatoto wangapi wa nje na wangapi wa ndoa .

Unakazi inayoingiza kwa mwezi ml5 plus je unabiashara ambayo usiku unaingiza 1 ml per day??

Je ukiwa free unawaza upotolo au mambo yakujenga maisha .??
Kwani si umeolewa lakini?😁
 
Eh situmeoana kabisa ni ndoa ya kanisani juzi ndio tulifanya aniversary ya vimiaka kadhaa vya ndoa he so lovely, kind ,special but shida ipo kwa wanawake anapenda sana huyo mtu.

All in All sio unapata kila kitu kwa mwanaume ukijaliwa na kupendwa basi.
mzabzab ndugu yangu ht kutuambia.
 
Back
Top Bottom